Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Mi naanza kuamini yale yaliyokuwa yanasemwa kuwa ccj kilikuwa ni changa la macho lililoandaliwa na ccm ili kuua nguvu ya upinzani hususani Chadema.Ila walipoona Mpendazoe amehamia huko,jambo ambalo halikutarajiwa basi wakabadili nia na kukimaliza kwa kutokukipa usajili wa kudumu.Maana kama wangekipa usajili basi mambo yangekuwa tofauti na walivyotarajia.Labda Mpendazoe alishtukia dili akahamia Chadema au ni bahati tu...Huwezi amini hawa ndo jamaa walioangusha kilio kule Butiama,jamaa wengine kwa kuact hawajambo.