Kizazi baada ya Messi na Ronaldo: Kati ya Neymar, Hazard, Mbappe, Dyabala na Pogba nani kutesa na tuzo ya ballon d'Or?

1)Sane,
2)Mbape,
3)Dembele,
4)Dyabala,
5)Neymar,
6)Isco na
7)Hazard
Hawa ndio watachuana sana kuwania Ballon d'Or,utawala wa Messi na CR7 utapoisha.
n
Uko sahihi hila umewasahau Gabriel Jesus na salah
 
Sasa kama unasema winger equal to striker , na neymar equal to winger , saurez equal to striker , ie neymar equal to suarez , sasa unakataa nini mtu akiwalinganisha / kuwasindanisha ?
 
Sasa kama unasema winger equal to striker , na neymar equal to winger , saurez equal to striker , ie neymar equal to suarez , sasa unakataa nini mtu akiwalinganisha / kuwasindanisha ?
Wewe ni mjinga unajua maana ya neno striker?

Kama hujui litafute ulifahamu vizuri

Unaonekana ni kilaza sana
 
Neymar na Hazard viwango vyao vinaendana though wamezidiana vitu Fulani, Hazard ni mzuri zaidi kwenye dribbling wakati Neymar ni mzuri zaidi kwenye Skills na Kuscore. Neymar ananafasi zaidi ya kuchukua ballon kuliko Hazard kutokana na uwezo wake wa kufunga, though viwango vyao havijaachana sana
 
kuchukua hivi viatu lazima timu yako ifike kwa fainali,euro,kwa uefa,sasa hawa wachezaji tunajuaje vilabu na mataifa yao yatafika viwango hivyo!!
 
Tukiacha ule unafiki kabisa.......tukatoa mahaba ya timu zetu,...Hazard nampenda saana ila Neymar simpendi kabisaaaa,ila Neymar anaujua mpira kuna vitu akirekebisha dunia itamuelewa saaana
 
MBAPE NI MZURI SAANA...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…