Kizazi baada ya Messi na Ronaldo: Kati ya Neymar, Hazard, Mbappe, Dyabala na Pogba nani kutesa na tuzo ya ballon d'Or?

Kizazi baada ya Messi na Ronaldo: Kati ya Neymar, Hazard, Mbappe, Dyabala na Pogba nani kutesa na tuzo ya ballon d'Or?

Mtoa Mada Hivi Unajua Hazard Ana Umri Wa Miaka Mingapi?
Sasa Ni enzi Zipi Hizo Atakazokuja Kutamba?

Hazard miaka = 27
Neymar miaka = 25
Dyabala miaka = 24
Mbappe miaka = 19
Messi miaka = 30
Ronaldo = 32

Kama Messi na Ronaldo wanatofautiana miaka miwili na wanachuana. Kwanini Hazard na Neymar wasichuane pamoja na hao wadogo wengine?
 
Hazard miaka = 27
Neymar miaka = 25
Dyabala miaka = 24
Mbappe miaka = 19
Messi miaka = 30
Ronaldo = 32

Kama Messi na Ronaldo wanatofautiana miaka miwili na wanachuana. Kwanini Hazard na Neymar wasichuane pamoja na hao wadogo wengine?
Coutinho vipi mkuu!!?
 
Hazard miaka = 27
Neymar miaka = 25
Dyabala miaka = 24
Mbappe miaka = 19
Messi miaka = 30
Ronaldo = 32

Kama Messi na Ronaldo wanatofautiana miaka miwili na wanachuana. Kwanini Hazard na Neymar wasichuane pamoja na hao wadogo wengine?


Sasa hivi Messi hashindani tena na Ronaldo!
Ronaldo Kashamaliza Zake! Na hao Kina Neymar na Wengine Bado hawajafikia Kiwango cha kushindana na Messi.

Kwahiyo Messi Hashindani na Yoyote Msimu huu Yupo peke Yake Na wala hakuna anaemkaribia.

The same Kwa Neymar Jr. Atakapoondoka Messi Neymar hatakua na Mpinzani Wa Kushindana nae
 
Sasa hivi Messi hashindani tena na Ronaldo!
Ronaldo Kashamaliza Zake! Na hao Kina Neymar na Wengine Bado hawajafikia Kiwango cha kushindana na Messi.

Kwahiyo Messi Hashindani na Yoyote Msimu huu Yupo peke Yake Na wala hakuna anaemkaribia.

The same Kwa Neymar Jr. Atakapoondoka Messi Neymar hatakua na Mpinzani Wa Kushindana nae
Una uhakika kamaliza? au unaongea tu mzee
 
Sasa hivi Messi hashindani tena na Ronaldo!
Ronaldo Kashamaliza Zake! Na hao Kina Neymar na Wengine Bado hawajafikia Kiwango cha kushindana na Messi.

Kwahiyo Messi Hashindani na Yoyote Msimu huu Yupo peke Yake Na wala hakuna anaemkaribia.

The same Kwa Neymar Jr. Atakapoondoka Messi Neymar hatakua na Mpinzani Wa Kushindana nae

From now ballon 3 zinamsubiri Messi.

Kuhusu neimar kusema hatakua na mpinzani sio kweli mark my words mkuu. Kama Dybala atahamia Barca basi wawili hao kuna uwezeksno mkubwa wakupokezana na bila kuwasahau Lcardi, Mbappe na Hazard. Lcardi naye aondoke ahamie timu za ushindani.
 
Ballon ya sasa ni ya kutengeneza kimaslahi maana haipo tena chini ya fifa...ni kagazetitu cha huko ufaransa ndo kunachagua mshindi.
 
Na mapenzi nayo yasikutie upofu. Najiaibishaje kwa kusema ukweli?

Kwa hiyo we kwako mtu akinunuliwa kwa pesa nyingi ndio bora, si ndio? Usijjipotoshe wewe, sio kila tarajio hutimia. Pogba alitazamiwa kuyafanya aliyokuwa akiyafanya Juve lkn haijawa...kwa lugha nyepesi, kiwango chake kimeshuka. Kwani Gareth Bale alivyonunuliwa kwa fedha nyingi alienda akampiku Ronaldo kwa ubora?

Wewe unaishi kwenye kumbukumbu ya huyu
View attachment 683927

Kama unamzungumzia huyu ni sawa, lakini huyu sasa hatunaye tena. Sasa hivi tuna huyu
170px-Manchester_United_v_Zorya_Luhansk%2C_September_2016_%2807%29_-_Paul_Pogba_%28edited%29.jpg


Kinachokusumbua wewe ni MAZOEA na VIVULI vya mambo yaliyopita. Na si wewe tu, wapo mamilioni ya washabiki wa Arsenal ambao wanaugua ugonjwa kama wako. Hao siku zote watatazamia Arsene Wenger afanye jambo la maana. Wanashindwa kukubali kuwa
0050462000000258-3391519-image-a-35_1452336972658.jpg


ni mtu tofauti na huyu hapa chini

wenger-sitting.jpg


Kwa hiyo suala lako la Pogba kwangu sina maoni mapya.
UTAJAZA MAPICHA LAKINI BADO POGBA NI MCHEZAJI MKUBWA PALE MAN JAPO SIO MWANIA BALLON DIOR,UNATUMIA LUGHA ZA WASUSI.POGBA SIO WA CHINI UTAKAVYO.
 
Bado messi ana kama mi simu miwili mitaru ya kukipigah mbingu nao wasubiri kwanzah
 
Back
Top Bottom