Kamzidi KUTOKUWA na gemu ya SHOW OFF na pia kamzidi kama team player, sio mchoyo kama Neymar.
Nimemjibu ivyo sababu amekuja na mipasho ya kuwa niende bongo movieSoccer na mambo ya lumumba wapi na wapi
Kumbe haufai kupewa fact
NIMEKUPUUZA
Dembele ni mchezaji wa kawaida sana...OVERRATEDUmemsahau Dembele!!
Mkuu unaongelea kikosi cha nini maana kama cha uefa hakuna hazard wala neymar...! Au unaongelea kikosi bora cha epl? Ok ata laliga neymar pia alikuwepo kikosi bora cha msimuKujumuishwa katika kikosi cha 2017 wakati neymer hayupo
Uzi wa shabiki wa Manu.
Okwi vs P.K.Tshishimbi!Kwa muda wa miaka 10 hadi sasa ulimwengu wa soka umeshikiliwa na magwiji wawili wa soka wanaotesa uwanjani na kuchukua tuzo kubwa ya Ballon d'Or kwa muda wote huo. Lakini sasa kuna vipaji vipya vinaonekana ambavyo vitakuja kutesa kipindi hiki ambacho Messi na Ronaldo wanaelekea ukingoni.
Kuna wachezaji wengi wazuri na wadogo; Hazard, Neymar, Mbappe, Pogba na Dyabala. Hawa wanaonekana kuwa ni moto kwa sasa na watakuja kuchuana vikali sana kwenye tuzo hiyo ya ballon d'or tuzo kubwa kwenye ulimwengu wa soka.
Sasa wapenzi wa Kandanda: Je, kati ya hawa ni nani atakuja kuwatesa wenzake na kuchukua tuzo hii mara kadhaa kuzidi wote hawa? Au kuna mwingine tofauti na hawa ambaye anaweza kuwa mbabe wa tuzo hiyo?
Sijakuelewa hiyo miaka ya Neymar!! 35 au?Nimemjibu ivyo sababu amekuja na mipasho ya kuwa niende bongo movie
Ukweli unauma hazard miaka 27 goal 100
Neymar miaka 35 goals 347
Si ajabu hazard atastaafu bila UEFA
Unamfahamu vizuri wewe au? Anachezea timu gani?Dembele ni mchezaji wa kawaida sana...OVERRATED
Mashindano ya sura mbaya au?
Pogba atoke kwenye hio list
WE MPUUZI, UNAMFANANISHAJE NEYMAR NA TAKATAKA KAMA POGBA, DYBALA?
HAPO NEYMAR HAKUNA ANAYEFANANA NAYE, UKIWAONDOA MESI NA CR, NEYMAR ATAKUWA ANACHUKUA TUZO KILA MWAKA KWA MIAKA 10 MFULULIZO.
Kwanza ukumbuke licha ya ushndani wa cr na messi, lakn bdo huyo dogo anakuwa shortlisted ktk watatu wanaowania.. Ebu mheshmu neymar.. Sema tu league anayochezea ni ya kishambaboy, na watu wanaipenda Psg kwa ajili ya kumwona neymar, cha kufanya hapo neymar ahamie timu kubwa ya spain au england
Hazard ni bora sana.
Waambie mkuu kuna watu wanasema hazard ni bora kuliko neymar wakati hazard ni kama Sanchezumeanza lini kuujua mpira?