Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Mashabiki wa PSG wamemzomea juzi juzi
Mbaka× mpaka √Mi najua swagger kibao toka za kufunga nywele ( darren peacock, petit), mbaka za kuvaa hereni kina roberto Baggio, mpaka za kuvuga ndevu david ginnola , mpaka xa kunyoa unga vialli , rasta ruud gullit etc, huyo jamaa yako bishoo tu hamna kitu,swagger za kina clareence seedorf ( engineer) etc
Neymar anasubiri saana kwa luis suarez , halafu ww unakuja kusema ooh neymar neymarTatizo nyie mashamba boy ambao hamna swagger mnamchukia neymar jr
Neymar mpuuzi saana , halafu cavani angefunga ndio angekuwa top scorer wa muda wa psg , ile ni mbaya inavunja umoja wa timuKwa upumbavu wake, kanataka kuwapandilia walioitoa mbali psg. Last week psg ilishinda goli 8,
De maria alipiga 2
Cavani alipiga 2
Mtoto wa mama akapiga 3 na 1 ya penalt, alishindwa nini kumwachia cavani nayeye apige hattrick!!! Angelikuwa Messi ashamwachia apige penalt ili wote wapate hattrick. Kanatamaa mno kabisho/katoto ka mama
Nimegundua kuwa hujui mpira mkuu?Neymar anasubiri saana kwa luis suarez , halafu ww unakuja kusema ooh neymar neymar
Sasa nimtoe nani hapo? Dybala yupo vizuri pia ila namtoa nani hapo?
Neymar mpuuzi saana , halafu cavani angefunga ndio angekuwa top scorer wa muda wa psg , ile ni mbaya inavunja umoja wa timu
Ok huo mtazamo wako mkuuThe hitman HAUKO SERIOUSLY, UKIONDOA CR NA MESI. NEYMAR NI BORA
Laiti kama ungejua nao ni binadamu kama wewe usingewaita TAKATAKA...WE MPUUZI, UNAMFANANISHAJE NEYMAR NA TAKATAKA KAMA POGBA, DYBALA?
HAPO NEYMAR HAKUNA ANAYEFANANA NAYE, UKIWAONDOA MESI NA CR, NEYMAR ATAKUWA ANACHUKUA TUZO KILA MWAKA KWA MIAKA 10 MFULULIZO.
Kwanza ukumbuke licha ya ushndani wa cr na messi, lakn bdo huyo dogo anakuwa shortlisted ktk watatu wanaowania.. Ebu mheshmu neymar.. Sema tu league anayochezea ni ya kishambaboy, na watu wanaipenda Psg kwa ajili ya kumwona neymar, cha kufanya hapo neymar ahamie timu kubwa ya spain au england
Neymar ana chance kubwa ya kuchukua usukani baada ya MessiKwa muda wa miaka 10 hadi sasa ulimwengu wa soka umeshikiliwa na magwiji wawili wa soka wanaotesa uwanjani na kuchukua tuzo kubwa ya Ballon d'Or kwa muda wote huo. Lakini sasa kuna vipaji vipya vinaonekana ambavyo vitakuja kutesa kipindi hiki ambacho Messi na Ronaldo wanaelekea ukingoni.
Kuna wachezaji wengi wazuri na wadogo; Hazard, Neymar, Mbappe, Pogba na Dyabala. Hawa wanaonekana kuwa ni moto kwa sasa na watakuja kuchuana vikali sana kwenye tuzo hiyo ya ballon d'or tuzo kubwa kwenye ulimwengu wa soka.
Sasa wapenzi wa Kandanda: Je, kati ya hawa ni nani atakuja kuwatesa wenzake na kuchukua tuzo hii mara kadhaa kuzidi wote hawa? Au kuna mwingine tofauti na hawa ambaye anaweza kuwa mbabe wa tuzo hiyo?
Ww binafsi nilitaka nisikujbu huu ujinga uliandika hapa, lakini nimeona nikujibu, Kwanza hilo unaloilisema la kulingaisha wachezaji wanaocheza position moja ndio kwanza nalisikia kwao, na kama hilo lingefuatwa basi kila msimu tungekuwa na wachezaji bora kumi na moja bora na si mmoja lakini kila msimu uchaguliwa mchezaji mmoja bora mmoja,Nimegundua kuwa hujui mpira mkuu?
Ngoja nikusaidie tu kidogo Neymar ni winger na Suarez ni central striker sasa unaanzake kuwa compare kama una akili timamu?
Luis Suarez mlinganishe na Lewandosky,Benzema,Lukaku,Morata,Laccazetti, Cavani hawa wote ni ma central strikers
Neymar Jr mlinganishe na Cr7, Messi,Bale,Hazard,Sanchez,InsingeMartial,hawa wote ni wingers
Ungeficha ujinga wako mkuu na usirudie kusema mbele za watu utachekwa mno
Ungemuuliza hata mtoto wa mjomba wako maana najua unaishi kwa mjomba
Too pathetic.
Kwa muda wa miaka 10 hadi sasa ulimwengu wa soka umeshikiliwa na magwiji wawili wa soka wanaotesa uwanjani na kuchukua tuzo kubwa ya Ballon d'Or kwa muda wote huo. Lakini sasa kuna vipaji vipya vinaonekana ambavyo vitakuja kutesa kipindi hiki ambacho Messi na Ronaldo wanaelekea ukingoni.
Kuna wachezaji wengi wazuri na wadogo; Hazard, Neymar, Mbappe, Pogba na Dyabala. Hawa wanaonekana kuwa ni moto kwa sasa na watakuja kuchuana vikali sana kwenye tuzo hiyo ya ballon d'or tuzo kubwa kwenye ulimwengu wa soka.
Sasa wapenzi wa Kandanda: Je, kati ya hawa ni nani atakuja kuwatesa wenzake na kuchukua tuzo hii mara kadhaa kuzidi wote hawa? Au kuna mwingine tofauti na hawa ambaye anaweza kuwa mbabe wa tuzo hiyo?
Kwani winger sio striker?Ww binafsi nilitaka nisikujbu huu ujinga uliandika hapa, lakini nimeona nikujibu, Kwanza hilo unaloilisema la kulingaisha wachezaji wanaocheza position moja ndio kwanza nalisikia kwao, na kama hilo lingefuatwa basi kila msimu tungekuwa na wachezaji bora kumi na moja bora na si mmoja lakini kila msimu uchaguliwa mchezaji mmoja bora mmoja,
ndio maana juzi juzi Ronaldo de lima , alisema wakati kipindi chetu kupata mchezaji bora ilikuwa ngumu Zaidi kuliko sasa, zamani tulikuwa Zidane, de lima, figo, rivaldo na baadae ronaldhino, sasa sijui ww hao wacheza wanacheza nafasi moja ndio yy alijinganishe nao
Kuhusu Cristiano Ronaldo hachezi winger, winger alikuwa anacheza akiwa Man u. madrid anacheza striker
Messi anacheza winger,main striker, second striker , sio sawa kusema anacheza winger tu , na ryan giggs utasemaje
(Nenda kwenda profile za wachezaji hao utaona kama unataka ushahidi)
Kingine kukumbusha wachezaji wengi uwanjani , wanapangwa kwenye position moja moja maalum, hila kucheza wanacheza position tofauti tofauti kwa sababu football ni mchezo wa kumove na kutafuta nafasi,( except kipa kidogo)
ndio maana beki utamkuta yuko mbele, forward utamkuta nyuma, etc
Kingine nakushauri jaribu kutafuta hoja za kumtetea Neymar hili watu wamkubali , kuliko kutafuta dosari na makosa wa watoa hoja wenzako, focus kwenye hoja kuu husika, kingine acha matusi na kashfa hivyo vitu kila mtu anaviweza , yaani unapotoa kashfa unaonekana umeishiwa hoja na kituko
Kubali kutofautiana kimawazo kwani kila mtu ana mawazo yake, zamani mm nilikuwa kama ww , nakumbuka tunaangalia euro 1996 iliofanyika England , nilikuwa nawachukia watu ambao hawaisupport Holland eti kwa kuwa Holland ina watu weusi ( kluivert na wenzake) bahati nzuri kuna braza mmoja akaniambia huwezi kuwapangia watu nani wamshangilie kwa hiyo kubali kutofautiana nao, ww unachotakiwa ni kujenga hoja ya kuwavuta kukubaliana na ww,
binafsi yule bro alinisaidia saana, mpaka sasa mm nikitofautiana na mtu naona sawa kwani kila mtu ana upeo wake
Kingine inaelekea unapenda ligi ya ubishani, yaani una utoto flani hivi
Weka record za Neymar hapa watu waone