Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

Pesa ndio kila kitu, nyie wenye 45 mmetokea kipindi ambacho fursa zilikuwa wazi. Sahizi mnaweza ishi healthy lifestyle unalipa GYM, Una kazi nzuri au biashara kubwa kubwa. Una mke mtulivu kakuzalia watoto mnaishi kifamilia. Hapo kwanini usiwe na nuru.

Kijana wa 90 anapambana na harsh reality kwamba anatakiwa aendeshe maisha kwa boda boda au kuchoma mahindi ilihali ana cheti kizuri cha chuo. Wengi wanajificha kwenye udalali wa simu na vinginevyo ilimradi maisha yaende walau kuficha identity zao. Utaacha kuzeeka kweli, huku wimbo ni tafta helaaaa...Kazi huna lazma uchanganyikiwe
Mara ukutana na binti mzuri ubadilishane namba ,kabla haujatangaza ata nia gesi ya binti inaisha ghafla, kujaza mtungi mkubwa 60 elfu ,haujakaa vizuri mjomba wake anakufa ( michango) , apo nywele zimefumuka kwenda kilioni lazima zisukwe na nauli ya kwenda na kurudi, lazima utoke kipara.
 
Pharrel sijui anakulaga nini huyu kiumbe,muweke na LL COOL J hawa watu hawazeeki miaka na miaka wapo hivyo hivyo.

Pharrel sijui anakulaga nini huyu kiumbe,muweke na LL COOL J hawa watu hawazeeki miaka na miaka wapo hivyo hivyo.
Nimeanza kumjua Cool J mwaka 1987 kwenye ngoma yake I NEED LOVE,ajabu Mimi nimekua budah ila Ladies Love yupo vilevile
 
Mara ukutana na binti mzuri ubadilishane namba ,kabla haujatangaza ata nia gesi ya binti inaisha ghafla, kujaza mtungi mkubwa 60 elfu ,haujakaa vizuri mjomba wake anakufa ( michango) , apo nywele zimefumuka kwenda kilioni lazima zisukwe na nauli ya kwenda na kurudi, lazima utoke kipara.
Hao kausha damu ndio balaa watoto wa 1995-2000 hapo
 
Tuliozaliwa 1978- 1985 tunarange kuanzia miaka 39-46, tumegoma kuzeeka, sijui kama mnafahamu sababu.

Iko hivi, kipindi hicho nchi ilipitia changamoto za kiuchumi, tulikuwa na vita ya iddi Amin hata baada ya vita hali haikuwa shwari, tuliendelea kufunga mikanda, uzalishaji wa chakula haukua vizuri, kama nchi tuliagiza chakula nje ya nchi, mnaukumbuka ugali wa Yanga??

Ni mpaka Mwinyi alipochukua nchi tukaanza kula vizuri, asikwambie mtu afya ya mtoto hutegemea genes za wazazi na chakula, hayo mambo mawili ndio huamua muonekano wa mtu ukubwani.

Tuliozaliwa miaka hiyo kuna virutubishi tulikosa matokeo yake tukatengeneza hybreed ya watu fulani, sio magiant sio wafupi, ni kuanzia futi 5 na inchi 4 mpaka futi 5 na inchi 8 wengi tuko humo.

Kukuta kijana wa 1980 ananyimwa shikamoo anapewa wa 1990 ni kawaida sana.
Orodha ya watu mashuhuri wanaoangukia humo ni kama hii
Dully Sykes, 45
Ridhwan Kikwete, 45
Mwana FA, 45
Queen Daren, 44
Single Mtambalike, 47
Ben Kinyaiya, 46
Maulid Kitenge, 48
Haji Manara, 50
Mange Kimambi, 46
Juma Nature 44
Ray kigosi 47.
Joti 45
Mpoki 47

Njoo kwa wadogo zetu sasa,binti miaka 25 kama veterani wa vita ya pili ya dunia,kijana miaka 30 ni kama mpigania uhuru,

Hawa ni watu ambao either nimesoma nao au nawafahamu kiundani tangu utotoni miaka ya rary 80's

Uzi huu hauwausu walioharibu afya zao kwa pombe kali na starehe zingine
siku zenu zimetimia farijianeni kwa maneno hayo
 
Pesa ndio kila kitu, nyie wenye 45 mmetokea kipindi ambacho fursa zilikuwa wazi. Sahizi mnaweza ishi healthy lifestyle unalipa GYM, Una kazi nzuri au biashara kubwa kubwa. Una mke mtulivu kakuzalia watoto mnaishi kifamilia. Hapo kwanini usiwe na nuru.

Kijana wa 90 anapambana na harsh reality kwamba anatakiwa aendeshe maisha kwa boda boda au kuchoma mahindi ilihali ana cheti kizuri cha chuo. Wengi wanajificha kwenye udalali wa simu na vinginevyo ilimradi maisha yaende walau kuficha identity zao. Utaacha kuzeeka kweli, huku wimbo ni tafta helaaaa...Kazi huna lazma uchanganyikiwe
Uko sahihi kabisa,kizazi chetu ajira nje nje
 
Tuliozaliwa 1978- 1985 tunarange kuanzia miaka 39-46, tumegoma kuzeeka, sijui kama mnafahamu sababu.

Iko hivi, kipindi hicho nchi ilipitia changamoto za kiuchumi, tulikuwa na vita ya iddi Amin hata baada ya vita hali haikuwa shwari, tuliendelea kufunga mikanda, uzalishaji wa chakula haukua vizuri, kama nchi tuliagiza chakula nje ya nchi, mnaukumbuka ugali wa Yanga??

Ni mpaka Mwinyi alipochukua nchi tukaanza kula vizuri, asikwambie mtu afya ya mtoto hutegemea genes za wazazi na chakula, hayo mambo mawili ndio huamua muonekano wa mtu ukubwani.

Tuliozaliwa miaka hiyo kuna virutubishi tulikosa matokeo yake tukatengeneza hybreed ya watu fulani, sio magiant sio wafupi, ni kuanzia futi 5 na inchi 4 mpaka futi 5 na inchi 8 wengi tuko humo.

Kukuta kijana wa 1980 ananyimwa shikamoo anapewa wa 1990 ni kawaida sana.
Orodha ya watu mashuhuri wanaoangukia humo ni kama hii
Dully Sykes, 45
Ridhwan Kikwete, 45
Mwana FA, 45
Queen Daren, 44
Single Mtambalike, 47
Ben Kinyaiya, 46
Maulid Kitenge, 48
Haji Manara, 50
Mange Kimambi, 46
Juma Nature 44
Ray kigosi 47.
Joti 45
Mpoki 47

Njoo kwa wadogo zetu sasa,binti miaka 25 kama veterani wa vita ya pili ya dunia,kijana miaka 30 ni kama mpigania uhuru,

Hawa ni watu ambao either nimesoma nao au nawafahamu kiundani tangu utotoni miaka ya rary 80's

Uzi huu hauwausu walioharibu afya zao kwa pombe kali na starehe zingine

Mbona manAra ni kama yupo 60s?
 
Back
Top Bottom