Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

Tuliozaliwa 1978- 1985 tunarange kuanzia miaka 39-46, tumegoma kuzeeka, sijui kama mnafahamu sababu.

Iko hivi, kipindi hicho nchi ilipitia changamoto za kiuchumi, tulikuwa na vita ya iddi Amin hata baada ya vita hali haikuwa shwari, tuliendelea kufunga mikanda, uzalishaji wa chakula haukua vizuri, kama nchi tuliagiza chakula nje ya nchi, mnaukumbuka ugali wa Yanga??

Ni mpaka Mwinyi alipochukua nchi tukaanza kula vizuri, asikwambie mtu afya ya mtoto hutegemea genes za wazazi na chakula, hayo mambo mawili ndio huamua muonekano wa mtu ukubwani.

Tuliozaliwa miaka hiyo kuna virutubishi tulikosa matokeo yake tukatengeneza hybreed ya watu fulani, sio magiant sio wafupi, ni kuanzia futi 5 na inchi 4 mpaka futi 5 na inchi 8 wengi tuko humo.

Kukuta kijana wa 1980 ananyimwa shikamoo anapewa wa 1990 ni kawaida sana.
Orodha ya watu mashuhuri wanaoangukia humo ni kama hii
Dully Sykes, 45
Ridhwan Kikwete, 45
Mwana FA, 45
Queen Daren, 44
Single Mtambalike, 47
Ben Kinyaiya, 46
Maulid Kitenge, 48
Haji Manara, 50
Mange Kimambi, 46
Juma Nature 44
Ray kigosi 47.
Joti 45
Mpoki 47

Njoo kwa wadogo zetu sasa,binti miaka 25 kama veterani wa vita ya pili ya dunia,kijana miaka 30 ni kama mpigania uhuru,

Hawa ni watu ambao either nimesoma nao au nawafahamu kiundani tangu utotoni miaka ya rary 80's

Uzi huu hauwausu walioharibu afya zao kwa pombe kali na starehe zingine
JOTI, MAULID KITENGE na MANGE Hawatakaa wazeeke
 
Kuna member alisema kuzeeka sio dhambi

Maandiko yanasema kichwa chenye mvi ni taji la ufahari

😅😅😅
Sawa kabisa mkuu!

Ngoja kwanza tuuanze uzee kwa kupeleka moto kwa vitoto vya 2000. Hivi ujue hawa ni watoto wetu kabisa yani, kweli life linakimbia balaa.

Yaani kusema kweli sisi hatutakiwi kuwalala watoto wa 2000, 80s kwangu ni best kabisa, nikibugi sana 95 mwisho🤣🤣 sasa ndugu yangu mdukuzi anacheza na 2000? dah!
 
Sawa kabisa mkuu!

Ngoja kwanza tuuanze uzee kwa kupeleka moto kwa vitoto vya 2000. Hivi ujue hawa ni watoto wetu kabisa yani, kweli life linakimbia balaa.

Yaani kusema kweli sisi hatutakiwi kuwalala watoto wa 2000, 80s kwangu ni best kabisa, nikibugi sana 95 mwisho🤣🤣 sasa ndugu yangu mdukuzi anacheza na 2000? dah!
Oyaa mzeiya sio poa

Miaka inaenda kwa kasi sana

Vitoto vitamu sana ni kuvipelekea moto mnapoanza uzee mle mema ya nchi

Ng'ombe hazeeki maini 😅 😅 😅 😅

mdukuzi simpingi
 
Back
Top Bottom