Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana... Yule mbona ni muislamu sana? Huwa anaenda na kuhiji sana na mara nyingi anaongea hata kiarabuMlevi yule,pombe,sigara,shisha,wake wanne,utaachaje kuzeeka
JOTI, MAULID KITENGE na MANGE Hawatakaa wazeekeTuliozaliwa 1978- 1985 tunarange kuanzia miaka 39-46, tumegoma kuzeeka, sijui kama mnafahamu sababu.
Iko hivi, kipindi hicho nchi ilipitia changamoto za kiuchumi, tulikuwa na vita ya iddi Amin hata baada ya vita hali haikuwa shwari, tuliendelea kufunga mikanda, uzalishaji wa chakula haukua vizuri, kama nchi tuliagiza chakula nje ya nchi, mnaukumbuka ugali wa Yanga??
Ni mpaka Mwinyi alipochukua nchi tukaanza kula vizuri, asikwambie mtu afya ya mtoto hutegemea genes za wazazi na chakula, hayo mambo mawili ndio huamua muonekano wa mtu ukubwani.
Tuliozaliwa miaka hiyo kuna virutubishi tulikosa matokeo yake tukatengeneza hybreed ya watu fulani, sio magiant sio wafupi, ni kuanzia futi 5 na inchi 4 mpaka futi 5 na inchi 8 wengi tuko humo.
Kukuta kijana wa 1980 ananyimwa shikamoo anapewa wa 1990 ni kawaida sana.
Orodha ya watu mashuhuri wanaoangukia humo ni kama hii
Dully Sykes, 45
Ridhwan Kikwete, 45
Mwana FA, 45
Queen Daren, 44
Single Mtambalike, 47
Ben Kinyaiya, 46
Maulid Kitenge, 48
Haji Manara, 50
Mange Kimambi, 46
Juma Nature 44
Ray kigosi 47.
Joti 45
Mpoki 47
Njoo kwa wadogo zetu sasa,binti miaka 25 kama veterani wa vita ya pili ya dunia,kijana miaka 30 ni kama mpigania uhuru,
Hawa ni watu ambao either nimesoma nao au nawafahamu kiundani tangu utotoni miaka ya rary 80's
Uzi huu hauwausu walioharibu afya zao kwa pombe kali na starehe zingine
Kijana acha kutuzeesha🤣🤣🤣sisi hatuzeeki bado tupo kama vile 25 hivi.Mbona hiyo list uliyotaja ni wazee tupu
Unaweza kutuonyesha picha zao za miaka 10 au 5 iliyopita tulinganishe muonekano wao wa sasa
Kuna member alisema kuzeeka sio dhambiKijana acha kutuzeesha🤣🤣🤣sisi hatuzeeki bado tupo kama vile 25 hivi.
Sawa kabisa mkuu!Kuna member alisema kuzeeka sio dhambi
Maandiko yanasema kichwa chenye mvi ni taji la ufahari
😅😅😅
Oyaa mzeiya sio poaSawa kabisa mkuu!
Ngoja kwanza tuuanze uzee kwa kupeleka moto kwa vitoto vya 2000. Hivi ujue hawa ni watoto wetu kabisa yani, kweli life linakimbia balaa.
Yaani kusema kweli sisi hatutakiwi kuwalala watoto wa 2000, 80s kwangu ni best kabisa, nikibugi sana 95 mwisho🤣🤣 sasa ndugu yangu mdukuzi anacheza na 2000? dah!
Kweli?Hata chid benzi na TID ni waislam
Wanatuonea😂