Anthony horowitz
JF-Expert Member
- May 4, 2024
- 421
- 1,042
ni baadhi ya vijana walio kosa mtazamo chanya, fikra na maamuzi sahihi tu.Kwanini uchawa kizazi chenu umekua jambo la kujivunia,mwanaume kusifia wenzie,umbea,kuvaa mlegezo,hereni..
Kama nani wa 90sni baadhi ya vijana walio kosa mtazamo chanya, fikra na maamuzi sahihi tu.
wapo vijana wenye maamuzi na fikra nzuri zinazo leta mabadiliko kwenye jamii.
Wa nchi gani Sasa niku tajieKama nani wa 90s
.... "kipo logically".... Indeed logically!!!!!Hiki ndo kizazi bora na ambacho kipo logically .
Ndo waasisi Wa kataa ndoa crew
Wanzaa kwa mpango
Wapo logically
Wapo na mental well being.
Be blessed , Golden generation.
Kwani nchi gani nyingine Ina vijana wa hovyo na "CHAWA"Wa nchi gani Sasa niku tajie
ππ ila wewe ni bange nibanguewindows 90 kwa ufupi sio hawa windows xp
ππππππ€π½si ndio sisi wala mashangazi!! mbona kama napata mashaka hivi..π€£
2000's for life.Huu mwaka unaupenda sana mkuu.
Mimi nausubiri huu 2028.
2010-2028
Twitter ndio wapi huko au unamaanisha X? Kama ni huko hata sina akaunti.Usikatae miaka yako kifupi we ni kizazi cha 2000 kijana wa hovyo mnao sumbua Twitter ππ
Wa 2010 hadi kufikia 2028 watakuwa wameiva vizuri kwahiyo wapo tayari kwa kuliwa.2000's for life.
Kwanini 2028?
π³π€£π€£π€£π2000's for life
Bro we ni mzee una mjukuu unasemaje we ni wa millenial generation(2000s)!?Inawezekana kabisa
Bro we ni mzee bwana na una mjukuu!Wanangu wa 99.. whatsap
πππππππ
Kizazi cha kupelekea π₯ mashangazi
Sir Jeff deniss, Benjamin fernandesKwani nchi gani nyingine Ina vijana wa hovyo na "CHAWA"
Sir Jeff anakuaje kijana wa maana wakati katepeli watu ,, Benjamin Havard product,aje kivingine,Nala money Bado sio kitu...Sir Jeff deniss, Benjamin fernandes
Duh nili kutana nae Mwaka huu, aki chana mbao anazo safirisha south a.Sir Jeff anakuaje kijana wa maana wakati katepeli watu ,, Benjamin Havard product,aje kivingine,Nala money Bado sio kitu...
Mkuu katika level aliyo weza kusanya capital I dare we huwezi fanya hio kitu.Sir Jeff anakuaje kijana wa maana wakati katepeli watu ,, Benjamin Havard product,aje kivingine,Nala money Bado sio kitu...