Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Capital si familia imemsapoti,dogo anatokea familia tajiri,kitu ninachoweza kukubali ni kwamba kichwani yupo vizuri,nilimuona Kuna mahala anaongelea Clubhouse kabla haijawa Clubhouse...he predicted the future..Mkuu katika level aliyo weza kusanya capital I dare we huwezi fanya hio kitu.
na mbona Nala Ina fanya poa tu, kaangalie data zao utaona
Mimi nazungumzia hiyo mentality, naamini Kuna wakubwa na wazee wengi hawana.Capital si familia imemsapoti,dogo anatokea familia tajiri,kitu ninachoweza kukubali ni kwamba kichwani yupo vizuri,nilimuona Kuna mahala anaongelea Clubhouse kabla haijawa Clubhouse...he predicted the future..
Ni harakati za kuunga mkono wajukuu zangu πππBro we ni mzee bwana na una mjukuu!
Unajiletaje kwenye miaka ya ujana!?
Hata mtoto sina mjukuu nampataje mkuu, mi ndio forever youngBro we ni mzee una mjukuu unasemaje we ni wa millenial generation(2000s)!?
Vipi ππ³π€£π€£π€£π
Unawaza kula tuWa 2010 hadi kufikia 2028 watakuwa wameiva vizuri kwahiyo wapo tayari kwa kuliwa.
Unajua unapenda kufinywa finywa hayo mashavu weweTena wa kuanzia 1995-1999π€£ππ
Futa no yangu,2000's for life
Upo sahihiKizazi cha 1980 - hiki ndo kimezaa 2000s hawa ndo unakuta Mama na mtoto wanatembea na mtu mmoja.
Na kizazi cha 1990s kiasi wapo logically na wanajua wanataka nini
π Nitafanyaje wakati vimeshaiva mkuu?Unawaza kula tu
Uzuri wa yule mshikaji wangu hakuwa mtumiaji sana wa JF zaidi ya habari zile nzito nzito zikitoka tulikuwa tunapenda kuangalia mijadala mara nyingi ilikuwa ikijadiliwa na watu ambao walikuwa well informed na mambo husika. Baada ya mshua ku-review account yake akagundua mwanae hakuwa active kabisa na hakuwa na nogwa zaidi hiyo bahati mbaya kupisha kauli ila ilikuwa kiutani zaidi. Mshua nae akatuonyesha account yake ambayo yeye alikuwa akipenda kujadili siasa na uchumi na walikuwa wanakijikita kwenye hoja tu.Nipo interested na nini kilitokea baada ya baba kumkunja mwana. Leta muendelezo mzee mwenzangu???
Vingine vimechachaπ Nitafanyaje wakati vimeshaiva mkuu?
π sifuti wewe futa yanguFuta no yangu,
Daah afu Kweli kaka.Vingine vimechacha
Ni hatari kuwa makiniDaah afu Kweli kaka.
Nimelisahau lile zimwi ambalo halina Dawa kamili
Kichwani wako vizuri?Mimi sio wa 2000 ila hiyo mitoto ipo vizuri sana kichwani na wapo real