Kizazi cha akina Mwigulu, Nape, January hakiwezi kutuletea maendeleo yoyote, kizazi cha akina Makonda, Hapi ndicho kina kitu ndani yao

Kizazi cha akina Mwigulu, Nape, January hakiwezi kutuletea maendeleo yoyote, kizazi cha akina Makonda, Hapi ndicho kina kitu ndani yao

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Uzi huu nauandika nikiwa nimebanwa nkaa kwenye mwendokasi. Na nimepanda mwendokasi kwa sababu sina jinsi maana route ya daladala iliuawa kutokea town centre kuelekea Ubungo hadi Kimara.

Hivyo ndivyo maono yangu yanavyonituma.

Kwamba hiki kizazi cha akina Mwigulu, Nape, January, kamwe hakitakaa kituletee maendeleo yoyote kwenye nchi.

Sababu kubwa ni kwamba hawana ari wala munkari wa kuacha alama kwenye nafasi zao, wapo pale wakiwa wanawaza nafasi ya Urais. Chochote wanachofanya wanafanya kuwafurahisha wazee wa chama na si wananchi.

Hiki kizazi cha akina Makonda, Hapi na wengineo ndicho angalau unaona wanafanya kazi pasipo kumfurahisha yeyote, wanasimamia misingi ya uongozi ambayo ni ku-side na wananchi.

Japokuwa wana makandokando yao, lakini ni bora kuliko hawa viongozi kondoo kwa kila kitu. Wao mlalahoi akionewa sawa, bwanyenye akiiba pia sawa. Yani wana ukondoo sio wa kawaida.

Kama ni phase, basi nchi kwa sasa iko kwenye LATENT PHASE. Yani hakuna kinachoendelea zaidi ya blaah blaah tu hapa na pale.

See you in 2040s
 
Kwa hiyo timu Jiwe ndo unataka uturudishie? Hii hii iliyoshiriki kupoteza watu.
 
Uzi huu nauandika nikiwa nimebanwa nkaa kwenye mwendokasi. Na nimepanda mwendokasi kwa sababu sina jinsi maana route ya daladala iliuawa kutokea town centre kuelekea Ubungo hadi Kimara.

Hivyo ndivyo maono yangu yanavyonituma.

Kwamba hiki kizazi cha akina Mwigulu, Nape, January, kamwe hakitakaa kituletee maendeleo yoyote kwenye nchi.

Sababu kubwa ni kwamba hawana ari wala munkari wa kuacha alama kwenye nafasi zao, wapo pale wakiwa wanawaza nafasi ya U-Rais. Chochote wanachofanya wanafanya kuwafurahisha wazee wa chama na si wananchi.

Hiki kizazi cha akina Makonda, Hapi na wengineo ndicho angalau unaona wanafanya kazi pasipo kumfurahisha yeyote, wanasimamia misingi ya uongozi ambayo ni ku-side na wananchi.

Japokuwa wana makandokando yao, lakini ni bora kuliko hawa viongozi kondoo kwa kila kitu. Wao mlalahoi akionewa sawa, bwanyenye akiiba pia sawa. Yani wana ukondoo sio wa kawaida.

Kama ni phase, basi nchi kwa sasa iko kwenye LATENT PHASE. Yani hakuna kinachoendelea zaidi ya blaah blaah tu hapa na pale.

See you in 2040s
Ni ukweli usiopingika kabisa. Kilichopo ni kuwa akina Dkt Mwigulu ndiyo akina Dkt Nchimbi, wamelewa kwenye dili yaani mfumo ni dili na ndiyo maana wakaweza kutengeneza mifumo ya kuiba hela toka kwa Mama Dkt Samia na wana kiburi cha hali ya juu. Nadhani ni ngumu kuwatoa ktk kipindi hiki kwa sababu mifumo yote ipo corrupted na wao na ndiyo maana hata ukisikia wizi wala hawastuki yaani ni sawa tu na kusema uwaseme vibaya wazungu kuwa wanyonyaji ila kwa sababu wana washirika wao Africa ni ngumu sana kumaliza tatizo
 
Na nyie huko kimara mmezidi kujazana, tafuteni sehemu nyingine mkakae.
 
Uzi huu nauandika nikiwa nimebanwa nkaa kwenye mwendokasi. Na nimepanda mwendokasi kwa sababu sina jinsi maana route ya daladala iliuawa kutokea town centre kuelekea Ubungo hadi Kimara.

Hivyo ndivyo maono yangu yanavyonituma.

Kwamba hiki kizazi cha akina Mwigulu, Nape, January, kamwe hakitakaa kituletee maendeleo yoyote kwenye nchi.

Sababu kubwa ni kwamba hawana ari wala munkari wa kuacha alama kwenye nafasi zao, wapo pale wakiwa wanawaza nafasi ya U-Rais. Chochote wanachofanya wanafanya kuwafurahisha wazee wa chama na si wananchi.

Hiki kizazi cha akina Makonda, Hapi na wengineo ndicho angalau unaona wanafanya kazi pasipo kumfurahisha yeyote, wanasimamia misingi ya uongozi ambayo ni ku-side na wananchi.

Japokuwa wana makandokando yao, lakini ni bora kuliko hawa viongozi kondoo kwa kila kitu. Wao mlalahoi akionewa sawa, bwanyenye akiiba pia sawa. Yani wana ukondoo sio wa kawaida.

Kama ni phase, basi nchi kwa sasa iko kwenye LATENT PHASE. Yani hakuna kinachoendelea zaidi ya blaah blaah tu hapa na pale.

See you in 2040s
Umenikumbusha watu wasiojulikana
 
Mwigulu na makamba ndio hawafai hata kwa kulumagia,hawana uchungu kabisa na hii nchi wanachowaza wao ni wizi na vizazi vyao vijavyo viendelee kutawala
 
Akina Makamba , Nape na Mwigulu unaweza kudhani ni mataahira flani hivi.., kumbe ni watu wana akili zao kabisa, ila wanaamua kuziacha chooni..
 
Back
Top Bottom