Kizazi cha dhahabu katika siasa za upinzani Tanzania kilikuwa ni hiki hapa. Hawa wa sasa wamekata pumzi

Kizazi cha dhahabu katika siasa za upinzani Tanzania kilikuwa ni hiki hapa. Hawa wa sasa wamekata pumzi

(1) Freeman Mbowe
Yule wa mwaka 2005-2015, alikuwa mpinzani kweli kweli, chuma hasa hasa! Alikuwa mhimili sio tu kwa chadema Bali kwa vyama vyote vya upinzani.

Kwa sasa amekata pumzi anapigania mkate na huruma ya watawala!

(2) Maalim Seif
Huyu hatuna mfano wake amekufa akiwa shujaa ,hakuwahi kugeuka nyuma ,peke yake tu alikuwa na uwezo wa kukitikisa kisiwa Cha Zanzibar na kikatikisika! Amekufa akiwa shujaa!

(3) Ibrahim Lipumba
Wa enzi zile 1995 -2010 hakuwa na mchezo ,alipoanza tamaa za madaraka na kutengana na maalim mambo yote yaliharibika !kwa sasa yeye na chama hakuna anaepoteza muda kujua wako wapi!

(4) Dkt. Wilbrod Slaa
Alikuwa mpinzani hatari zaidi miaka ya 2005 -2014 baada ya hapo hatujui ninini kilimpata!

(5)Zitto ZuberI Kabwe
Kama asingefanyiwa figisu CHADEMA na tamaa ya kutaka kumtoa Mbowe kwenye nafasi yake nahisi hakuna mpinzani angemfikia, alikuwa moto kweli kweli,kwa sasa ananguvu na hoja zenye msimamo japo chama chake kimekosa nguvu na mvuto!

(6)David Kafulila
Huyu mwamba akiwa mpinzani moto uliwaka kweli kweli alikuwa haogopi mtu na mbunge alilimudu sana kwa sasa ni kada wa CCM!

(7) Mabere Malando
Ilikuwa nguzo sana kwa upande siasa za upinzani miaka ya 2000-2010

(8) Salum Mwalimu na Profesa Jay, Sugu, Peter Msigwa, Heche na Halima Mdee
Ilikuwa ndio mbegu changa inayoibuka kwa Kasi kwa sasa hawana pumzi Tena!

(9) Tundu Lissu
Ni mwanasheria na nguli wa siasa za kisasa ,anapaswa kurudi bungeni na sio kugombea urais Tena( 10) nassoro mazrui ni hatari na nusu, huyu ndiye anaweza kuwa mrithi sahihi wa maalimu seif pale Zanzibar, kwa hao na wengine wengi walikuwa Bora sana siku za nyuma kwa sasa waruhusu kizazi kipya kinyume na hapo siku zijazo hatutakuwa na upinzani tena.
Wamezeeka akili na mwili,umri unawatupa mkono wanajikuta Wana focus kwenye fainali uzeeni kuliko mapambano.

Wanahisi wamepoteza pambano.

Mwisho umemsahau Freddy Lwakatare.
 
List yangu ya kizazi cha dhahabu ni ile ya 2005 hadi 2015
1. Freeman Aikaeli mbowe wa wakati use
2. Chacha wangwe
3. Zitto kabwe
4. John Mnyika
5. Wilbroad slave
6. Joshua Nasari
7. Tumbiri.
8. Wa NCCR kigoma nimesahau jina
9. Maalim seif
10. Jussa
11. Luhaga mpina
12. Deo filikunjombe
13. Msigwa
14. Suggu
15. Lemma
Filikunjombe na Mpina hapo vipi?
 
(1) Freeman Mbowe
Yule wa mwaka 2005-2015, alikuwa mpinzani kweli kweli, chuma hasa hasa! Alikuwa mhimili sio tu kwa chadema Bali kwa vyama vyote vya upinzani.

Kwa sasa amekata pumzi anapigania mkate na huruma ya watawala!

(2) Maalim Seif

Huyu hatuna mfano wake amekufa akiwa shujaa ,hakuwahi kugeuka nyuma ,peke yake tu alikuwa na uwezo wa kukitikisa kisiwa Cha Zanzibar na kikatikisika! Amekufa akiwa shujaa!

(3) Ibrahim Lipumba
Wa enzi zile 1995 -2010 hakuwa na mchezo ,alipoanza tamaa za madaraka na kutengana na maalim mambo yote yaliharibika !kwa sasa yeye na chama hakuna anaepoteza muda kujua wako wapi!

(4) Dkt. Wilbrod Slaa
Alikuwa mpinzani hatari zaidi miaka ya 2005 -2014 baada ya hapo hatujui ninini kilimpata!

(5)Zitto ZuberI Kabwe
Kama asingefanyiwa figisu CHADEMA na tamaa ya kutaka kumtoa Mbowe kwenye nafasi yake nahisi hakuna mpinzani angemfikia, alikuwa moto kweli kweli,kwa sasa ananguvu na hoja zenye msimamo japo chama chake kimekosa nguvu na mvuto!

(6)David Kafulila
Huyu mwamba akiwa mpinzani moto uliwaka kweli kweli alikuwa haogopi mtu na mbunge alilimudu sana kwa sasa ni kada wa CCM!

(7) Mabere Malando
Ilikuwa nguzo sana kwa upande siasa za upinzani miaka ya 2000-2010

(8) Salum Mwalimu na Profesa Jay, Sugu, Peter Msigwa, Heche na Halima Mdee
Ilikuwa ndio mbegu changa inayoibuka kwa Kasi kwa sasa hawana pumzi Tena!

(9) Tundu Lissu
Ni mwanasheria na nguli wa siasa za kisasa ,anapaswa kurudi bungeni na sio kugombea urais Tena( 10) nassoro mazrui ni hatari na nusu, huyu ndiye anaweza kuwa mrithi sahihi wa maalimu seif pale Zanzibar, kwa hao na wengine wengi walikuwa Bora sana siku za nyuma kwa sasa waruhusu kizazi kipya kinyume na hapo siku zijazo hatutakuwa na upinzani tena.
Hadi prof Jay na Dugu🤭🤭
 
(1) Freeman Mbowe
Yule wa mwaka 2005-2015, alikuwa mpinzani kweli kweli, chuma hasa hasa! Alikuwa mhimili sio tu kwa chadema Bali kwa vyama vyote vya upinzani.

Kwa sasa amekata pumzi anapigania mkate na huruma ya watawala!

(2) Maalim Seif

Huyu hatuna mfano wake amekufa akiwa shujaa ,hakuwahi kugeuka nyuma ,peke yake tu alikuwa na uwezo wa kukitikisa kisiwa Cha Zanzibar na kikatikisika! Amekufa akiwa shujaa!

(3) Ibrahim Lipumba
Wa enzi zile 1995 -2010 hakuwa na mchezo ,alipoanza tamaa za madaraka na kutengana na maalim mambo yote yaliharibika !kwa sasa yeye na chama hakuna anaepoteza muda kujua wako wapi!

(4) Dkt. Wilbrod Slaa
Alikuwa mpinzani hatari zaidi miaka ya 2005 -2014 baada ya hapo hatujui ninini kilimpata!

(5)Zitto ZuberI Kabwe
Kama asingefanyiwa figisu CHADEMA na tamaa ya kutaka kumtoa Mbowe kwenye nafasi yake nahisi hakuna mpinzani angemfikia, alikuwa moto kweli kweli,kwa sasa ananguvu na hoja zenye msimamo japo chama chake kimekosa nguvu na mvuto!

(6)David Kafulila
Huyu mwamba akiwa mpinzani moto uliwaka kweli kweli alikuwa haogopi mtu na mbunge alilimudu sana kwa sasa ni kada wa CCM!

(7) Mabere Malando
Ilikuwa nguzo sana kwa upande siasa za upinzani miaka ya 2000-2010

(8) Salum Mwalimu na Profesa Jay, Sugu, Peter Msigwa, Heche na Halima Mdee
Ilikuwa ndio mbegu changa inayoibuka kwa Kasi kwa sasa hawana pumzi Tena!

(9) Tundu Lissu
Ni mwanasheria na nguli wa siasa za kisasa ,anapaswa kurudi bungeni na sio kugombea urais Tena( 10) nassoro mazrui ni hatari na nusu, huyu ndiye anaweza kuwa mrithi sahihi wa maalimu seif pale Zanzibar, kwa hao na wengine wengi walikuwa Bora sana siku za nyuma kwa sasa waruhusu kizazi kipya kinyume na ho siku zijazo hatutakuwa na upinzani tena.

Hii ni kabla ya yule dhalimu wa chattle hajaja kuleta ulevi wake wa madaraka kwenye siasa za ushindani. Matokeo yale alikipotezea hata chama chake mvuto wa kisiasa. Ndio maana Sasa hivi bunge lake la chama kimoja hakuna mwenye muda nalo Wala halina mvuto.

Na Sasa hivi muhalifu aliyemuaandaa anazunguka nchi nzima akitengeneza mafuriko fake Ili kurejesha hamasa waliyoshiriki kuipoteza kwa kulazimisha kukubalika.
 
Na hata watu mitaani wanakiri kwamba Tzn hakuna upinzani na Wala hawana Imani na hao Wapinzani.

Wanawachagua Wapinzani pale ccm ikibodonga ila ikijirudi wote wanarudi ccm
Nimecheka kwa nguvu, halafu ccm inalazimisha kuhodhi tume ya uchaguzi ili watengeneze matokeo wayatakayo, na sio yanayotakiwa na wananchi.
 
Hii ni kabla ya yule dhalimu wa chattle hajaja kuleta ulevi wake wa madaraka kwenye siasa za ushindani. Matokeo yale alikipotezea hata chama chake mvuto wa kisiasa. Ndio maana Sasa hivi bunge lake la chama kimoja hakuna mwenye muda nalo Wala halina mvuto.

Na Sasa hivi muhalifu aliyemuaandaa anazunguka nchi nzima akitengeneza mafuriko fake Ili kurejesha hamasa waliyoshiriki kuipoteza kwa kulazimisha kukubalika.
Nyie wengine ni waganga njaa,wachumia tumbo na Machawa 😁🤣

Kwenye kizazi hicho hata Mimi nilikuwemo enzi zile tuko Mlimani na matapeli kina Shonza 😂😂
 
Nimecheka kwa nguvu, halafu ccm inalazimisha kuhodhi tume ya uchaguzi ili watengeneze matokeo wayatakayo, na sio yanayotakiwa na wananchi.
Kwa sababu Kuna maeneo hawajafanya vyema lakini hawataki Wapinzani wapate Nguvu msije kuwasumbua hapo baadae
 
(1) Freeman Mbowe
Yule wa mwaka 2005-2015, alikuwa mpinzani kweli kweli, chuma hasa hasa! Alikuwa mhimili sio tu kwa chadema Bali kwa vyama vyote vya upinzani.

Kwa sasa amekata pumzi anapigania mkate na huruma ya watawala!

(2) Maalim Seif
Huyu hatuna mfano wake amekufa akiwa shujaa ,hakuwahi kugeuka nyuma ,peke yake tu alikuwa na uwezo wa kukitikisa kisiwa Cha Zanzibar na kikatikisika! Amekufa akiwa shujaa!

(3) Ibrahim Lipumba
Wa enzi zile 1995 -2010 hakuwa na mchezo ,alipoanza tamaa za madaraka na kutengana na maalim mambo yote yaliharibika !kwa sasa yeye na chama hakuna anaepoteza muda kujua wako wapi!

(4) Dkt. Wilbrod Slaa
Alikuwa mpinzani hatari zaidi miaka ya 2005 -2014 baada ya hapo hatujui ninini kilimpata!

(5)Zitto ZuberI Kabwe
Kama asingefanyiwa figisu CHADEMA na tamaa ya kutaka kumtoa Mbowe kwenye nafasi yake nahisi hakuna mpinzani angemfikia, alikuwa moto kweli kweli,kwa sasa ananguvu na hoja zenye msimamo japo chama chake kimekosa nguvu na mvuto!

(6)David Kafulila
Huyu mwamba akiwa mpinzani moto uliwaka kweli kweli alikuwa haogopi mtu na mbunge alilimudu sana kwa sasa ni kada wa CCM!

(7) Mabere Malando
Ilikuwa nguzo sana kwa upande siasa za upinzani miaka ya 2000-2010

(8) Salum Mwalimu na Profesa Jay, Sugu, Peter Msigwa, Heche na Halima Mdee
Ilikuwa ndio mbegu changa inayoibuka kwa Kasi kwa sasa hawana pumzi Tena!

(9) Tundu Lissu
Ni mwanasheria na nguli wa siasa za kisasa ,anapaswa kurudi bungeni na sio kugombea urais Tena( 10) nassoro mazrui ni hatari na nusu, huyu ndiye anaweza kuwa mrithi sahihi wa maalimu seif pale Zanzibar, kwa hao na wengine wengi walikuwa Bora sana siku za nyuma kwa sasa waruhusu kizazi kipya kinyume na hapo siku zijazo hatutakuwa na upinzani tena.

1. Umenena vyema - Lissu kurejea bungeni.

2. Ni wazi kuwa bila katiba mpya kwenye urais wapinzani wategemee kupigwa tukio (huko hatoboi mtu asoyetoka kizimkazi).
 
Vipi, ester matiko, ester bulaya na mwita waitara?
 
Kwa sababu Kuna maeneo hawajafanya vyema lakini hawataki Wapinzani wapate Nguvu msije kuwasumbua hapo baadae

Mnajilisha upepo mnakubalika, kisha ikifika wakati wa kipimo Cha kukubalika kwenu mnakimbilia kwenye mbeleko! Ni sawa na mwanafunzi anajiaminisha kuwa ana akili, ila ikifika siku ya mtihani anapewa majibu na msimamizi wa mtihani!😂😂
 
Back
Top Bottom