Kizazi cha sasa cha Rhumba nani mkali kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?

Nani mkali wa Rhumba DRC?


  • Total voters
    48
Hebu endelea kumsikuliza Ferre Gola ana nyimbo nyingi sana
 
Hebu endelea kumsikuliza Ferre Gola ana nyimbo nyingi sana
Bila shaka Mkuu

Na iwapo utakuwa nazo za kutosha nitaomba ushee nasi hapa.

Shukrani πŸ™πŸ™
 
Nyokalese ya Fali Pupa ,hiyo ngoma bonge moja la music , huwa siichoki kuisikiliza......................
Ferre Gola naye ni master sana ,kuna ile ngoma ya Vita Imana bonge moja la ngoma
Kiufupi wote wanajua
 
Nyokalese ya Fali Pupa ,hiyo ngoma bonge moja la music , huwa siichoki kuisikiliza......................
Ferre Gola naye ni master sana ,kuna ile ngoma ya Vita Imana bonge moja la ngoma
Kiufupi wote wanajua
 
Nyokalese ya Fali Pupa ,hiyo ngoma bonge moja la music , huwa siichoki kuisikiliza......................
Ferre Gola naye ni master sana ,kuna ile ngoma ya Vita Imana bonge moja la ngoma
Kiufupi wote wanajua
Kabisa anajua sana jamaa
 
Baada ya kusikiliza mayday hapa na sikiliza maboko pamba ya papa (chery)Gola
Rumba zilizonivutia kwao ni 100 kg Ferre Gola na associe ya Fall Ipupa. Nawapa 50 50
 
Nimwasikiliza wote na nimekuja kugundua kuwa wengi wanamfahamu Fally Ipupa kuliko Ferre Gola na sababu kubwa ni Ferre Golla anafanya Traditional Rhumba tofauti na Fally Ipupa ambaye yeye anafanya Modern Rhumba
 
Nimetoka kusilikiliza sasa hiv fere gola ana hatari sana wwww
 
Nimwasikiliza wote na nimekuja kugundua kuwa wengi wanamfahamu Fally Ipupa kuliko Ferre Gola na sababu kubwa ni Ferre Golla anafanya Traditional Rhumba tofauti na Fally Ipupa ambaye yeye anafanya Modern Rhumba
Point
 
Kabla sijaona huu uzi, nimesikiliza Mayday ya Fally Ipupa zaidi ya mara 10. Wimbo mtamu sana
Mkuu Mayday ni Kali sana, Sasa nenda kasikilize hata pini 3 tu za Ferre Gola
Kamasutra
Jugement
Court Circuit

Halafu utaniambia
 
Nimwasikiliza wote na nimekuja kugundua kuwa wengi wanamfahamu Fally Ipupa kuliko Ferre Gola na sababu kubwa ni Ferre Golla anafanya Traditional Rhumba tofauti na Fally Ipupa ambaye yeye anafanya Modern Rhumba
Hii point kubwa sana, lakini pia Fally Ipupa ni maarufu zaidi kwa hapa kwetu kwasababu ameshakuja mara kadhaa tofauti na Ferre Gola
 
ilo goma la FerrieG la 100 kilos ni moto aise halafu ndio umekamata V8 ya waziri dar to dodoma unaeweza kanyaga mafuta for 5hrs halafu ukajishangaa mwenyewe imekuaje nipo Dom time hii
Huo ndio mchezo wangu nikiwa road napenda kusikiza 100 kilos matrafic wakipiga mkono wanajua dume, nikishuka wakiniona wanasikitika wanasema binti utakufa wewe!!!
Na cle’ boa ya koffi aisee!! Wakongoman wanajua wanajua tena!!!πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Inabidi unitafute nikupe pini za Rhumba unaweza kupiga hapa mpaka unaingia Dom
 
Kwa hapa Bongo,Diamond ni kama Fally Ippupa na Ferre ni kama Ali Kiba.Mmoja ni fundi,ambaye ni Ferre,wakati mwingine anajitihada ambaye ni Fally...
Ferre sidhani hatakama amewaui kuja Tz,ila Fally amewahi,hivyo Fally Ippupa wengi wanamsikiliza kwasababu wanamjua,Ferre wengi hawasikilizi na kumjua kwasababu huku Tz wengi hawamjui.All in all,wako vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…