Kizazi cha sasa tambueni haya ndio mambo yanayoweza kukusababisha ukaua bila kujali Sheria

Lakini mwanadam ameumbwa Ana sahau

Ova
 
Haya mambo tokea zamani yanaua

Na yataendelea kuua

Ova
 
Jack aliyefiwa na anayedai kua mumewe awe makini, ule utajiri ulipatikana kwa jitiada za pamoja kati ya marehemu na watoto wa mke mkubwa asitegemee sheria tu kumlinda /kutafuta haki atambue kua there is different between actual right and legal right, naomba kuwasilisha
 
Alafu sio kila mtu anayekufanyia ubaya atateseka Hilo weka kichwani [emoji3][emoji3]
Na sio kila utakaposamehe utakuwa na Amani. Inategemea na moyo wako unapenda nini.
Hakuna kitu kibaya Kama kujisaliti, kisha kusalitiwa
Hepu nieleze kwa upana hapa mkuu
 
Kuua mtu ni kiwango cha juu Sana cha ujinga ikiwemo ukosefu Mkubwa wa uhimilivu
 
Mkuu heshima kwako..
 
Empathy is in my side... I'll not either kill or killed
 
Kuua mtu ni kiwango cha juu Sana cha ujinga ikiwemo ukosefu Mkubwa wa uhimilivu
Hakuna nchi yenye watu wenye maneno mengi kama watanzania. Kiufupi sisi Mungu ametupa NEEMA ya kushuhudia kiwango kikubwa cha amani ndiyo maana unaweza kuzungumza hivi. Watanzania tumelewa amani kiasi kwamba tumeanza hadi kuichezea, tukidhani ni haki yetu ya kuzaliwa. Kama ukifanikiwa kufika nchi kama Congo DR, Sudan, Somalia au walau ukae na wale Watusi na Wahutu waliokuwepo watu wazima miaka ya 1990-1994 utafahamu kwanini binadamu wanauwana.

Human Beings are capable of incomprehensible diabolical exploits that can make you sick to the stomach. Tupende kutafuta amani na watu wote, tujishushe, tuthamini haki na utu wa wengine na tuache tamaa.....
 
Hizo Jamii ulizozitaja still zina kiwango cha juu Sana cha ujinga,thus utenda hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…