ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,027
- 2,490
Hekima na busara ya hakimu itumike kwani alifanya hayo kutokana na njaa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hekima na busara ya hakimu itumike kwani alifanya hayo kutokana na njaa tu
Apigwe mvua kama amekiri“Huyu Intaprinyuwaaa ni mbunifu kweri-kweri” in Mwendazake’s voice
Bado kuna watu wajina snKwamba Raisi anakuambia tuma na ya kutolea arba 😂🤣😂🤣
Sikiliza Mkuu hawa watu ndio unahangaika kuwakomboa 🤣🤣 time wasting!Apigwe mvua kama amekiri
Bado kuna watu wajina sn
sureSikiliza Mkuu hawa watu ndio unahangaika kuwakomboa 🤣🤣 time wasting!
Mshauri tu Mwigulu aongeze Tozo mpaka watembee wamevaa Kaniki kama zile enzi za Mchonga.sure
Chamoto wanakipataMshauri tu Mwigulu aongeze Tozo mpaka watembee wamevaa Kaniki kama zile enzi za Mchonga.
Tena elfu 40.Sijaelewa, yaani Raisi kamuomba Mtu hela na akatumiwa?.
We jamaa wewe🤣🤣🤣🤣“Huyu Intaprinyuwaaa ni mbunifu kweri-kweri” in Mwendazake’s voice
Muhuni kachukua tozo kwa njia ya uaminifusafi sana, harakati za kukabiliana na machungu ya Tozo
Tena naona ilibidi aigize lafudhi ya Kizenji "Yaakhe tuma haraka nataka kwenda kwenye mkutano Unguja..."Sijaelewa, yaani Raisi kamuomba Mtu hela na akatumiwa?.
Nadhani sio boya,huenda anampenda sana Raisi wake kiasi ambacho ilibidi amkopeshe Rais wake au ampe Raisi wake kile alichonacho.Huyo aliyetoa hiyo 40000 naye boya
Ova
Labda atakuwa ameambiwa ukituma humu hautadaiwa tozo mwaka mzima🤪🤪🤪Sijaelewa, yaani Raisi kamuomba Mtu hela na akatumiwa?.