Kizungumkuti hifadhi ya Burigi

Kizungumkuti hifadhi ya Burigi

Viwanja vya ndege vilivyopo vina hali mbaya na vinahitaji matengenezo makubwa kwanini kujenga uwanja wa kimataifa mahali ambapo hakuna shughuli za kimataifa zinaendelea?
Mbona viwanja vinakarabatiwa? Nafaham kuna ukarabati Mkubwa wa Kiwanja cha Ndege cha Songea unaendelea. Hebu wasiliana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania utapata taarifa sahihi na rasmi. Usisubirie taarifa sahihi Huku JF mana hizi sio taarifa rasmi.
 
Kiongozi inaonekana hata hujui kinachoendelea kwenye hii sekta ya Utalii. Kwahiyo unategemea Hifadhi ya Burigi itapokea watalii million moja ndani ya miaka mitano?? Ni vyema ukafahamu kuwa toka Tanzania upate Uhuru ni mwaka Jana ndio tumepokea watalii 1.5m Kwa Mwaka Kwa mara ya Kwanza. So watalii wanaotembelea nchini mwetu sio wengi kihivyo. So tuna kazi kubwa mbele yetu ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu kama hivi ilivyofanyika kwenye Ujenzi uwanja wa ndege Chato.

Yawezekama sijui, sasa kwa nyie wenye kujua, hebu tupeni basi cost benefit analysis na au business case inayo justify kujenga international airport hapo chato ili hali wanyama ndio kwanza wanasombwa kupelekwa huko... sipingi kuendeleza infrastructure, nachosema ni kwamba huko viwanja vya lami vinapotakiwa, vingepelekwa huko kwanza - mfano mikumi- watalii ni wengi, pembezoni mwa seregenti kama Mugumu, Selous, na sehemu nyingine ambazo zitaleta benefit kubwa muda mfupi...

Kwa hiyo Airport kuwepo chato: gharama za uendeshaji wake ni kubwa kuliko benefit, hasara itakuwa kubwa kuliko gharama za ujenzi... kumbuka mitambo ya kuongezea ndege, maafisa uhamiaji, waongoza ndege, grounds controller, usalama na mambo mengi yanayotakiwa kwenye 24/7 international airport.. je haya yote kweli Chato tunayaweza, je kuna volume ya watu/ watumiaji inayohitajika kukidhi huyo ujenzi au umejengwa tu ili mradi uonekane kwamba upo ? mbona viwanja vingi hasa vya mikoani hakuna lami kama mpango ni kuendeleza miundo mbinu?

Iweje Chato ipewe kipaumbele zaidi kuliko mikoa mingine ambayo ni ya zamani sana kuliko chato ? hapo ndio utaona ni kwa nini watu wananyoosha vidole vyao huo chato... hata kama JPM anatokea hapo, upendeleo si wa lazima... Ingependeza zaidi kuona kwamba viwanja vyote Tanzania vimewekewa Lami na baada ya hapo ndio vingine vifuatie kama hiyo chato...
 
Hivi una taarifa za kutosha kusema hayo eddy? Acha uvivu tafuta taarifa sahihi. Neno kivutio Lina maana pana Sana. Inawezekana Burigi kuwa Chato ni kivutio pia mana ndo Nyumban Kwa Mhe. Rais. Kitu kuwa kivutio inategemea namna tunavyokipackage.
Hifadhi ya burigi inaunganisha mapori manne yaani biharamulo Burigi rumanyika na Kinesi, hifadhi hii iko katika wilaya za chato biharamulo muleba ngara na karagwe na ilianzishwa na chief Omukama Rumanyika kabla hata mjerumani hajaja, Sasa wewe unazungumza as if Ni shambapori la eka tano, huu upotoshaji mtaacha lini? Ndio maana Jana hamkwenda kanisani Mungu hapendi waongo
 
Yawezekama sijui, sasa kwa nyie wenye kujua, hebu tupeni basi cost benefit analysis na au business case inayo justify kujenga international airport hapo chato ili hali wanyama ndio kwanza wanasombwa kupelekwa huko... sipingi kuendeleza infrastructure, nachosema ni kwamba huko viwanja vya lami vinapotakiwa, vingepelekwa huko kwanza - mfano mikumi- watalii ni wengi, pembezoni mwa seregenti kama Mugumu, Selous, na sehemu nyingine ambazo zitaleta benefit kubwa muda mfupi...

Kwa hiyo Airport kuwepo chato: gharama za uendeshaji wake ni kubwa kuliko benefit, hasara itakuwa kubwa kuliko gharama za ujenzi... kumbuka mitambo ya kuongezea ndege, maafisa uhamiaji, waongoza ndege, grounds controller, usalama na mambo mengi yanayotakiwa kwenye 24/7 international airport.. je haya yote kweli Chato tunayaweza, je kuna volume ya watu/ watumiaji inayohitajika kukidhi huyo ujenzi au umejengwa tu ili mradi uonekane kwamba upo ? mbona viwanja vingi hasa vya mikoani hakuna lami kama mpango ni kuendeleza miundo mbinu?

Iweje Chato ipewe kipaumbele zaidi kuliko mikoa mingine ambayo ni ya zamani sana kuliko chato ? hapo ndio utaona ni kwa nini watu wananyoosha vidole vyao huo chato... hata kama JPM anatokea hapo, upendeleo si wa lazima... Ingependeza zaidi kuona kwamba viwanja vyote Tanzania vimewekewa Lami na baada ya hapo ndio vingine vifuatie kama hiyo chato...
Mpango uliopo kufikia 2025 kila mkoa iunganishwe kwa lami, kila mkoa uwe na uwanja wa ndege, tatizo maeneo mengine wajuwaji badala ya kuweka mipango kazi wamekalia porojo
 
Ungeweka na idadi ya ndege za kibiashara au za kitalii zinazotua hapo tangu kumalizika kwa uwanja na uwepo wa hiyo hifadhi ya wanyama.

Kama hauna, alichosema TL kitabaki sahihi labda kama kinauma
I wonder. Ina maana watalii wanaoshuka Serengeti ama Arusha ni wengi kuli wa Chato. Pale Mwanza pana uwanja mkubwa wa kimataifa wa ndege, na ni mwendo karibia wa masaa mawili kufika chato. Kwa nini usitumike wa Mwanza?
 
Yawezekama sijui, sasa kwa nyie wenye kujua, hebu tupeni basi cost benefit analysis na au business case inayo justify kujenga international airport hapo chato ili hali wanyama ndio kwanza wanasombwa kupelekwa huko... sipingi kuendeleza infrastructure, nachosema ni kwamba huko viwanja vya lami vinapotakiwa, vingepelekwa huko kwanza - mfano mikumi- watalii ni wengi, pembezoni mwa seregenti kama Mugumu, Selous, na sehemu nyingine ambazo zitaleta benefit kubwa muda mfupi...

Kwa hiyo Airport kuwepo chato: gharama za uendeshaji wake ni kubwa kuliko benefit, hasara itakuwa kubwa kuliko gharama za ujenzi... kumbuka mitambo ya kuongezea ndege, maafisa uhamiaji, waongoza ndege, grounds controller, usalama na mambo mengi yanayotakiwa kwenye 24/7 international airport.. je haya yote kweli Chato tunayaweza, je kuna volume ya watu/ watumiaji inayohitajika kukidhi huyo ujenzi au umejengwa tu ili mradi uonekane kwamba upo ? mbona viwanja vingi hasa vya mikoani hakuna lami kama mpango ni kuendeleza miundo mbinu?

Iweje Chato ipewe kipaumbele zaidi kuliko mikoa mingine ambayo ni ya zamani sana kuliko chato ? hapo ndio utaona ni kwa nini watu wananyoosha vidole vyao huo chato... hata kama JPM anatokea hapo, upendeleo si wa lazima... Ingependeza zaidi kuona kwamba viwanja vyote Tanzania vimewekewa Lami na baada ya hapo ndio vingine vifuatie kama hiyo chato...
Ukiangalia Kwa muda mfupi costs zinaweza outweigh benefits katika Ujenzi wa Chato Kwa sasa. Lakini uwanja ule huko mbeleni kama tutatimia vzr uwepo wake unaweza leta faida kuliko hata viwanja vingine tulivyonavyo. Kuleta faida au kutoleta faida inategemea na Sisi watanzania tumejipangaje kutumia uwanja huo.

Mathalan, sasa hivi wanao market Hifadhi ya Taifa ya Burigi, kwao uwepo wa uwanja huo ni a Plus. Kwasisi tunaokaa kusubiria kuona watalii wametua Chato bila kufanya jitihada zozote za kutumia fursa hiyo hatuwezi kuona faida za uwanja huo.

Ilipaswa sasa hivi watu waende Chato/Geita kufungua mashamba makubwa ya kibiashara Ili wakivuna mazao yatoke Chato direct to Walaji wa nchi zilizoendelea. Au tuanze kutumia uwepo wa Kiwanja hicho kumarket hifadhi za Magharibi mwa Tanzania Kwa nguvu zote. Badala yake tumekaa pemben tunarusha lawama. Kwa uzoefu wangu, uwanja huu hata ungejengwa Arusha bado tungelaumu. Sisi ni kama wana wa Israeli, hatuna jema.
 
Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.

HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita, Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:

Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.

Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.

Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.

Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.

Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.

Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.

Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.

UWANJA WA NDEGE WA CHATO
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.

Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.

RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa huu upotoshaji anaoufanya kipindi cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu
Kama hayo mapori yote yaliyopandishwa hadhi yapo mkoa Kagera isipokuwa pori la Chato, na hata hiyo Chato ilikuwa Kagera kabla haijafanyiwa figisu na kuwekwa Geita, na kwankuwa zaidi ya 70% ya hifadhi hiyo ipo Kagera kwa nini hiyo hifadhi haikuitwa jina la Kagera? Na ili hizo huduma zote zikapelekwe Kagera huko kwenye hiyo hifadhi?? Maana hifadhi hiyo ime cover maeneo ya wilaya za Karagwe, Muleba na Biharamulo zote za mkoa wa Kagera.

Huu ubinafsi wa serekale ya V[emoji57][emoji57]
 
I wonder. Ina maana watalii wanaoshuka Serengeti ama Arusha ni wengi kuli wa Chato. Pale Mwanza pana uwanja mkubwa wa kimataifa wa ndege, na ni mwendo karibia wa masaa mawili kufika chato. Kwa nini usitumike wa Mwanza?
Mwanza Burigi Ni 360km mtalii gani utamtembeza umbali huo? Mbona mnatumia masaburi kufikuri?
 
Kama hayo mapori yote yaliyopandishwa hadhi yapo mkoa Kagera isipokuwa pori la Chato, na hata hiyo Chato ilikuwa Kagera kabla haijafanyiwa figisu na kuwekwa Geita, na kwankuwa zaidi ya 70% ya hifadhi hiyo ipo Kagera kwa nini hiyo hifadhi haikuitwa jina la Kagera? Na ili hizo huduma zote zikapelekwe Kagera huko kwenye hiyo hifadhi?? Maana hifadhi hiyo ime cover maeneo ya wilaya za Karagwe, Muleba na Biharamulo zote za mkoa wa Kagera.

Huu ubinafsi wa serekale ya V[emoji57][emoji57]
Kwani Hifadhi inaitwa Chato!?

Mbona inaitwa Burigi. Na geti kuu liko Biharamulo.

Uwanja upo Chato ambayo ipo katikati ya Rubondo, Saa nane na Burigi national parks.

Ulitaka uwanja ujengwe Biharamulo!? Isingewezekana viwanja viwili vya kimataifa kuwa mkoa mmoja maana kwa Kagera Uwanja upo tayari.

Upendeleo uko wapi!?
 
Kama hayo mapori yote yaliyopandishwa hadhi yapo mkoa Kagera isipokuwa pori la Chato, na hata hiyo Chato ilikuwa Kagera kabla haijafanyiwa figisu na kuwekwa Geita, na kwankuwa zaidi ya 70% ya hifadhi hiyo ipo Kagera kwa nini hiyo hifadhi haikuitwa jina la Kagera? Na ili hizo huduma zote zikapelekwe Kagera huko kwenye hiyo hifadhi?? Maana hifadhi hiyo ime cover maeneo ya wilaya za Karagwe, Muleba na Biharamulo zote za mkoa wa Kagera.

Huu ubinafsi wa serekale ya V[emoji57][emoji57]
Hifadhi ya Rwanda inaitwa Kagera tutawachanganya watalii, bukoba karagwe Ni milima, eneo tambarare la kujenga uwanja Ni Chato, eneo pekee kingine Ni murugwanza ngara lakini liko mpakani ndege unaweza dunguliwa na majirani kwa bahati mbaya
 
Hifadhi ya burigi inaunganisha mapori manne yaani biharamulo Burigi rumanyika na Kinesi, hifadhi hii iko katika wilaya za chato biharamulo muleba ngara na karagwe na ilianzishwa na chief Omukama Rumanyika kabla hata mjerumani hajaja, Sasa wewe unazungumza as if Ni shambapori la eka tano, huu upotoshaji mtaacha lini? Ndio maana Jana hamkwenda kanisani Mungu hapendi waongo
Hili eneo la uhifadhi ni eneo langu kitaaluma. Nimkulia na kuzeekea humo. Hivyo, jua ninauelewa mpana Sana kwenye uhifadhi ndo mana nkamwambia neno kivutio Lina maana pana inategemea namna mnavyojipackage.
 
Mpango uliopo kufikia 2025 kila mkoa iunganishwe kwa lami, kila mkoa uwe na uwanja wa ndege, tatizo maeneo mengine wajuwaji badala ya kuweka mipango kazi wamekalia porojo
Porojo kwa kweli ni nyingi..Miaka 59 ni mingi sana kuwepo madarakani- ingefaa hizi habari za lami nchini mwetu kila sehemu hadi kijijini ziwe historia...
 
Porojo kwa kweli ni nyingi..Miaka 59 ni mingi sana kuwepo madarakani- ingefaa hizi habari za lami nchini mwetu kila sehemu hadi kijijini ziwe historia...
Mipango ya maendeleo inahitaji muda mrefu, nchi zilizoendelea Zina mipango mirefu, malkia wa uingereza ana miaka 60 ikulu, nchi yetu sio maabara yakufanyia majaribio inahitaji watu wenye weledi sio porojo za majukwaani
 
UWANJA WA NDEGE WA CHATO
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.
huo sio uwanja wa ndege tuu ila ni uwanja wa ndege wa kimataifa, sasa kati ya huko chato na iringa wapi kulipaswa kujengwa uwanja wa hadhi hiyo kama kigezo ni utalii?
 
huo sio uwanja wa ndege tuu ila ni uwanja wa ndege wa kimataifa, sasa kati ya huko chato na iringa wapi kulipaswa kujengwa uwanja wa hadhi hiyo kama kigezo ni utalii?
Wacha uongo, Kama Ni international airport tupatie codes zake, wa dar Ni JKIA wa Moshi Ni KIA huo wa chato codes zake zikoje?
 
Unamaanisha wananchi wengine hawataruhusiwa kutua kwenye uwanja huo?? Naomba ufafanuzi Kiongozi.

Mimi nadhani badala ya kupiga majungu, tulipaswa tufurahie uwekezaji wa watanzania kwenye nchi yao. Sasa Kama Sugu na Mbowe wanahoteli zao? Mnashangaa nini Kwa Rais wa Nchi kuwa na Hoteli? (Hata kama ni Kweli)? Au Mhe. Rais hapaswi kumiliki Hotel? Haya Mambo mengine mnalalama naweza sema ni Wivu ila hakuna hoja za Msingi.

..hakuna aliyemkosoa kwa kujenga hoteli.

..fedha alizotumia kujijengea uwanja wa ndege angezitumia kwenye miradi inayogusa wananchi wengi.

..hivi Mbowe au Sugu wangetumia fedha za mfuko wa jimbo kwa mradi unaowanufaisha wao tu na hoteli zao ungewaunga mkono?
 
Back
Top Bottom