Labda ungetufafanulia unadhani kipi kinapaswa kuanza?? Kujengea uwanja ndio ndege zitue au ndege zitue Kwanza afu ndo uwanja ujengwe??
Uwanja huu na hifadhi hizi bado ni mpya. Tunahitaji muda wa kuboresha miundombinu ya kuhudumia watalii ndio utaona wanatua hapo. Miundombinu hiyo ni pamoja na Mahoteli, viwanja vya ndege na barabara ndani ya hifadhi. Hivyo, ndugu zangu haya Mambo hayatokei overnight. Ni busara Kabla mtu hajaanza kuongea hovyo kwa maneno yakulishwa, tutumie akili zetu kufikiri.
Jamani chadema waongo, mungu hapendi, Sasa hiyo guest ya makigo ndo ishakuwa yake kweli?..uwanja ndege na hifadhi ya wanyama pori ni kwa ajili ya hoteli yake ambayo amejenga huko.
Yaani 2010 mlisema vituo vya cameloil na lakeoil Ni vya rizwan Sasa nimeanza uongo mwingine, hata shetan sio mwongo hivyo..uwanja ndege na hifadhi ya wanyama pori ni kwa ajili ya hoteli yake ambayo amejenga huko.
..hakuna aliyemkosoa kwa kujenga hoteli.
..fedha alizotumia kujijengea uwanja wa ndege angezitumia kwenye miradi inayogusa wananchi wengi.
..hivi Mbowe au Sugu wangetumia fedha za mfuko wa jimbo kwa mradi unaowanufaisha wao tu na hoteli zao ungewaunga mkono?
Dah watu mna mawazo mafupi sana aisee. Kwahiyo kiwanja kile amejijengea sio? So hakitatumiwa na mtu mwingine yeyote ama?
Yaani mtu unadiriki kusema angejenga miradi inayogusa wananchi badala ya uwanja wa ndege, so uwanja huo hautawagusa wananchi??
Haya ni mawazo ya ajabu sana. Hatutokaa tuendelee kwa chuki hizi walahi