Kizungumkuti hifadhi ya Burigi

Kizungumkuti hifadhi ya Burigi

Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.

HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya Burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita,Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:-
Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.

Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.

Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.

Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.

Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.

Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.

Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.

UWANJA WA NDEGE WA CHATA
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.

Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.

RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa hu upotoshaji anaoufanya kipindi Cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu
Hifadhi ya burigi ilianzishwa na chifu rumanyika was falme za bunyoro alikuwa akifugia ngombe zake, wacheni kupotosha,
 
Nimepata Bahati Nzuri Ya Kupita Hilo Mbuga
Kutokea Karagwe Kwenda Ngara
Sikukutana Na Wanyama Zaidi Ya Mbweha Watatu Kwa Umbali Tofauti Tofauti.
Pori Ni Kubwa Sana, Lingekuwa Kama Mikumi, Tarangire, Hata Pori La Akiba Pale Lamadi Kwenye Mizani Ukipita Wanyama Unawaona Tu
Hivi ni pori ama ni mbuga?

Sehemu ya ustawi wa wanyama kuweza kuonekana na kuwa kivutio cha utalii ni mbugani ama porini?

Nimeuliza jinsi jiografia ilivyokaa kaa huko, nipate mwanga kidogo niweze kuchangia hoja.
 
Hivi ni pori ama ni mbuga?

Sehemu ya ustawi wa wanyama kuweza kuonekana na kuwa kivutio cha utalii ni mbugani ama porini?

Nimeuliza jinsi jiografia ilivyokaa kaa huko, nipate mwanga kidogo niweze kuchangia hoja.
Pori Kubwa Sana
 
Mleta mada kahakikishe Kwanza ukweli wa mambo uliyoongea. Burigi haipo mkoani Geita isipokuwa kwa sehemu ndogo inaingia mkoani Geita.

Na mapori mengine yote uliyotaja hakuna hata moja liliko Geita labda la Kibanda kama lipo.

Kama ni suala la uwanja wa kuyafikia mapori yote hayo kwa Pamoja uwanja wa Ndege wa Bukoba ungekuwa centre ya kuyafikia kwa urahisi.
 
Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.

HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita,Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:-
Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.

Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.

Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.

Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.

Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.

Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.

Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.

UWANJA WA NDEGE WA CHATA
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.

Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.

RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa hu upotoshaji anaoufanya kipindi Cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu
Serengeti National Park iko Mara, kwanini hawajajenga International Airport Mara?

Ruaha National Park iko Iringa, kwanini hawakujenga International Airport iringa?

Gombe National Park iko Kigoma, Je kuna International Airport Kigoma?

Katavi National Park iko Katavi, Je kuna International Airport Katavi?

Kuna hifadhi nyingi tu kama Ngorongoro, Selous, Mikumi, Manyara n.k lakini huko kote havikujengwa viwanja vya ndege vya kimataifa. Kwanini Chato??

Au hifadhi ya burigi inapokea watalii wengi kuliko hifadhi za Serengeti, Ngorongoro, Mikumi, Selous, Manyara, na nyinginezo ??
 
Hilo la uwanja wa ndege, nilidhani ungejengwa kwanza Mwanza International Airport ili iwe Katikati ya Mara na Kagera lakini cha kushangaza Mwanza hakuna uwanja wa Ndege!(watu watashangaa hakuna vipi) uliza nitakujibu
 
Umekuwa mwalimu wa lugha....!!!!
Hu ni udhaifu wa hoja ndugu,Mara nyingi watu Kama nyie mkisoma thread alafu mkaona zipo nondo mnatafuta Sasa makosa ya kiuwandishi.
Wewe Kama huna hoja pita kushoto..

Mtu kama huyo maskini kuandika kwenyewe hajui!! unanzaje kumjibu kwa hoja? Nyie endeleeni kula buku saba zenu kwa kuja kuandika upupu humu Ila mjue huu sio ushabiki wa simba na Yanga, mnachezea roho za watu kwa vijisent vidogo mnavyolipwa.
 
Serengeti National Park iko Mara, kwanini hawajajenga International Airport Mara?

Ruaha National Park iko Iringa, kwanini hawakujenga International Airport iringa?

Gombe National Park iko Kigoma, Je kuna International Airport Kigoma?

Katavi National Park iko Katavi, Je kuna International Airport Katavi?

Kuna hifadhi nyingi tu kama Ngorongoro, Selous, Mikumi, Manyara n.k lakini huko kote havikujengwa viwanja vya ndege vya kimataifa. Kwanini Chato??

Au hifadhi ya burigi inapokea watalii wengi kuliko hifadhi za Serengeti, Ngorongoro, Mikumi, Selous, Manyara, na nyinginezo ??
Hivi zile ngeu za juzi zimetikisa ubongo, tangu lini chato airstrip imekuwa international airport?

Serengeti Kuna KIA, ruaha Kuna uwanja wa nduli, gombe Kuna kigoma airport, katavi Kuna mpanda airport, mbeya hakuna kivutio chochote Kuna songwe airport, burigi ilikuwepo hata mjerumani aliikuta, kuwa na uwanja wake ishakuwa nongwa, mbona Mtei alijijengea Arusha airport Tena akiwa wazuri tu na hamsemi, ovyo
 
Hilo la uwanja wa ndege, nilidhani ungejengwa kwanza Mwanza International Airport ili iwe Katikati ya Mara na Kagera lakini cha kushangaza Mwanza hakuna uwanja wa Ndege!(watu watashangaa hakuna vipi) uliza nitakujibu
Fedha zilitolewa tangu enzi ya kikwete wajanja wakapiga juu kwa juu bil 200 zililambwa na hawasemi
 
Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.

HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita,Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:-
Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.

Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.

Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.

Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.

Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.

Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.

Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.

UWANJA WA NDEGE WA CHATA
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.

Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.

RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa hu upotoshaji anaoufanya kipindi Cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu
Kwani unafikir hawajui
 
Hakuna mapato yeyote huko. Ni kuongeza tu matumizi yasiyo na maana. Mbuga mbili tu ndo zinaingiza pesa nyingi zaidi ya mapato. Ngorongoro na Serengeti. Hizo nyingine pesa za kuendeshwa zinatokana na Serengeti na Ngorongoro. Fanya research uache upuuzi

Duh we jamaa mzushii, umetembelea mbuga kweli wewee?? Mikumi, Tarangire, Selous, Manyara, Gombe??? Zote mapato wanategemea ngorongoro na serengeti???
 
Umekuwa mwalimu wa lugha....!!!!
Hu ni udhaifu wa hoja ndugu,Mara nyingi watu Kama nyie mkisoma thread alafu mkaona zipo nondo mnatafuta Sasa makosa ya kiuwandishi.
Wewe Kama huna hoja pita kushoto..
"Kiuwandishi", vijana wa slowslow wanatia aibu. Kosa siyo lenu ila kosa ni la aliyewapa ajira
 
Tunaomba Idadi ya Ndege zinazotua hapo Uwanjani Chato kuleta watalii wanaokuja kutembelea hio mbuga ya Burigi, Vinginevyo Lissu atabaki kuwa mkweli mpka mtakavyoleta ushahidi wa hayo mnayodai yanafanyika katika Uwanja wa ndege pamoja Mbuga ya Burigi.
 
Huyu ikiwa hatakatwa na NEC ni bora wasiojulikana wamalizie kazi yao ili sisi tulio wengi, watoto wetu na wajukuu wetu wabaki salama.

Hatuwezi kuwa na mtu muongo, mzushi na mfitini namna hii lengo lake akijua ni kuharibu amani ya nchi awafurahishe wenzie
 
Ukweli ni kwamba hizo hifadhi zimeanzishwa kisiasa kwa maslahi ya watu au mtu kwa mitazamo yao au yake. Nia haikua mbaya ila uanzishwaji wake kwangu nauona una mashaka. Hayo mapori yalikua machafu toka miaka na miaka na uanzishwaji wake umekua niwaharaka sana ukilinganisha na hali halisi. Hadi sasa Tanapa ina hifadhi nyingi tegemezi sasa kuwaongezea hizo mbuga tena kwa haraka nikuwaongezea mzigo usio wa lazima.

Nakuhakikishia ata ilazimishwe vip hizo hifadhi hadi zifikie daraja la kati lakuingiza ata wageni 200 kwa mwaka sio chini ya miaka 20.Nakama lengo lilikua nikuongeza idadi ya wageni suluhisho la kwanza lisingekua kuanzisha hifadhi mpya bali kuboresha kwanza zilizopo kwa maana ya zile zinazozalisha vizuri(serenget, tarangire, kilimanjaro, ngorongoro, manyara n.k) zizalishe zaidi kisha kugeukia zisizozalisha vizuri(ruaha, mkomaz, kitulo, rubondo, mahale, gombe, odzungwa, mikumi n.k) zifikie kuzalisha vizuri kisha ndo wazo lakuanzisha hizo nyingine lingekuja, tena ilitakiwa zipande moja baada ya nyingine.
 
Duh we jamaa mzushii, umetembelea mbuga kweli wewee?? Mikumi, Tarangire, Selous, Manyara, Gombe??? Zote mapato wanategemea ngorongoro na serengeti???
Unyumbu mbaya jamanii
Kasema kwa kuingiza mapato mengi.Japo kaeleza kwakifupi ila hifadhi chache ndizo zilikua zinaingiza mapato yakusaidia hifadhi nyingine.Kuna kilimanjaro,serenget,arusha,tarangire,manyara pamoja na mamlaka ya ngonrongoro.Hizo nyingine zinajazia tu ila ukilinganisha makusanyo yao na matumizi ni tofauti.Nahizi takwimu zipo tafuta utazipata.
 
Back
Top Bottom