kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Hello bosses and roses.
Leo nimekumbuka kitu, miaka ya zamani niliwah kuwa na maumivu ya mgogo yaani nikikaa tu nasikia mgongo unauma, hio hali ilikua inanipa shida sana hasa kipindi cha mitihani nikiwa shuleni, nashindwa kufocus kukimbizana na muda sababu ya maumivu ya mgongo, ila baadae nikaanza kutumia mbinu ya kujidanganya.
Yaani nilikua nikikaa nikaanza kuhisi maumivu basi nakaa kama dkk 2 hadi 5 najidanganya hayo maumivu siyasikii, nafocus kwenye kitu kingine kabisa mfano pale shuleni tulikua na lawns za green sana, nilikua naangalia dirishan nafocus kwenye huo ukijani wa lawn hadi feeling ya maumivu inakata kabisa na nasahau kama nina maumivu hayo.
Kisha nahamisha focus polepole kwenye mtihani naendelea.
Sikujua kumbe nilikua nafanya meditation bila kujua. Japo leo sitaki kuongelea kuhusu meditation, nataka niongelee kuhusu hii hali ya ubongo kutoweza kutofautisha kati ya uhalisia na illusion, bali inachukua kile ambacho utaweza kukiingiza huko kwenye ubongo.
Hii ndio sababu kuu inayofanya dogo wa shule fln ya boys huko ndanindani afanye s.ex na Beyoncee aliepo marekani, na akapizi kama vile kweli kabisa yupo na Beyoncee kupitia tu masturbation sababu ubongo wenyewe hauwezi kutofautisha beyonce halisi na huyo wa akilini kwako, hivyo dogo akiweza kuvuta zile hottest pictures za beyonce basi ubongo unajua beyonce yuko hapa anakamuliwa sshv, na ubongo utatuma signal damu iende huko chini, mnara unasoma na ukisiguliwa kwa muda dogo anamaliza kazi, same end result kwa huyohuyo lets say JayZ anaekula hio mali live.
Hivyo basi hio hack ni muhimu sana, ukiweza kuitumia itakusaidia kuvuka hali zozote mbaya unazopitia kwenye maisha, itakuondolea depression, itakusaidia kucontrol maumivu, etc......
Peace!
~ kali linux
Leo nimekumbuka kitu, miaka ya zamani niliwah kuwa na maumivu ya mgogo yaani nikikaa tu nasikia mgongo unauma, hio hali ilikua inanipa shida sana hasa kipindi cha mitihani nikiwa shuleni, nashindwa kufocus kukimbizana na muda sababu ya maumivu ya mgongo, ila baadae nikaanza kutumia mbinu ya kujidanganya.
Yaani nilikua nikikaa nikaanza kuhisi maumivu basi nakaa kama dkk 2 hadi 5 najidanganya hayo maumivu siyasikii, nafocus kwenye kitu kingine kabisa mfano pale shuleni tulikua na lawns za green sana, nilikua naangalia dirishan nafocus kwenye huo ukijani wa lawn hadi feeling ya maumivu inakata kabisa na nasahau kama nina maumivu hayo.
Kisha nahamisha focus polepole kwenye mtihani naendelea.
Sikujua kumbe nilikua nafanya meditation bila kujua. Japo leo sitaki kuongelea kuhusu meditation, nataka niongelee kuhusu hii hali ya ubongo kutoweza kutofautisha kati ya uhalisia na illusion, bali inachukua kile ambacho utaweza kukiingiza huko kwenye ubongo.
Hii ndio sababu kuu inayofanya dogo wa shule fln ya boys huko ndanindani afanye s.ex na Beyoncee aliepo marekani, na akapizi kama vile kweli kabisa yupo na Beyoncee kupitia tu masturbation sababu ubongo wenyewe hauwezi kutofautisha beyonce halisi na huyo wa akilini kwako, hivyo dogo akiweza kuvuta zile hottest pictures za beyonce basi ubongo unajua beyonce yuko hapa anakamuliwa sshv, na ubongo utatuma signal damu iende huko chini, mnara unasoma na ukisiguliwa kwa muda dogo anamaliza kazi, same end result kwa huyohuyo lets say JayZ anaekula hio mali live.
Hivyo basi hio hack ni muhimu sana, ukiweza kuitumia itakusaidia kuvuka hali zozote mbaya unazopitia kwenye maisha, itakuondolea depression, itakusaidia kucontrol maumivu, etc......
Peace!
~ kali linux