Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes UBONGO (BRAIN) NI TOFAUTI NA FIKRA (MIND), UBONGO NI KAMA CONTROL BOX/SERVANT KWENYE MWILI NA FIKRA NI KAMA TECHNICIAN/ MASTER WA UBONGO/CONTROL BOX/ SERVANT, UBONGO(SERVANT) WENYEWE HAUFIKIRI BALI UNAPOKEA MAELEKEZO TOKA KWENYE FIKRA(MIND) YAWE MAZURI AU MABAYA ALAFU UNATENDA KULINGANA NA MAELEKEZO YA FIKRA(MIND), NJIA JAMAA AMBAYO AMEELEZEA HAPO NI INAMAANISHA WAKATI FIKRA IMETUMA TAARIFA MBAYA KWENDA KWENYE UBONGO KABLA HAUJATENDEA KAZI HIYO TAARIFA, AU UBONGO UMEANZA KUTENDEA KAZI TU KWA KUTUMIA TENA FIKRA(MIND) UNATUMA TENA TAARIFA TOFAUTI NA ILE YA MWANZO HIVYO UBONGO(SERVANT) UTAANZA KUTENDEA KAZI TAARIFA MPYA ILE YA MWANZO MBAYA ITAKUWA IMEPOTEA, NOTE TECHNIQUE HII SIO RAHISI INAHITAJI PRACTICE PRACTICE.Hivi kumbe Ubongo na Fikra ni vitu viwili tofauti .....🤔
KashindyeThey call it mind game, not everyone has that capability...😉
To some it's a skill to practice it....
To some it's just an art to master...
Anhaa kumbe 👏Yes UBONGO (BRAIN) NI TOFAUTI NA FIKRA (MIND), UBONGO NI KAMA CONTROL BOX/SERVANT KWENYE MWILI NA FIKRA NI KAMA TECHNICIAN/ MASTER WA UBONGO/CONTROL BOX/ SERVANT, UBONGO(SERVANT) WENYEWE HAUFIKIRI BALI UNAPOKEA MAELEKEZO TOKA KWENYE FIKRA(MIND) YAWE MAZURI AU MABAYA ALAFU UNATENDA KULINGANA NA MAELEKEZO YA FIKRA(MIND), NJIA JAMAA AMBAYO AMEELEZEA HAPO NI INAMAANISHA WAKATI FIKRA IMETUMA TAARIFA MBAYA KWENDA KWENYE UBONGO KABLA HAUJATENDEA KAZI HIYO TAARIFA, AU UBONGO UMEANZA KUTENDEA KAZI TU KWA KUTUMIA TENA FIKRA(MIND) UNATUMA TENA TAARIFA TOFAUTI NA ILE YA MWANZO HIVYO UBONGO(SERVANT) UTAANZA KUTENDEA KAZI TAARIFA MPYA ILE YA MWANZO MBAYA ITAKUWA IMEPOTEA, NOTE TECHNIQUE HII SIO RAHISI INAHITAJI PRACTICE PRACTICE.
🤔🤔Ubongo ni Hardware but fikra ni software yake
Umeshatendwa ?????Hivi ndivyo hata ukiachwa unaweza kutumia hiyo Hack ukamsahau huyo mbwa ambae hathamini penzi lako
Kashindye
Bado nimecomment ili iwasaidie wahusikaUmeshatendwa ?????
kakosea kukuelezea rahisi ni hivi ubongo ni kiwanda fikra ndio product inayozalishwa na ubongo.
India sheria kali ndio maana ujasiri wakubaka kenge wanao..🤣
Mada yako inaweza ikawa ipo sahihi lkn umechanganya mambo, nafikiri nadharia yako haifanyi kazi sehemu zote isipokuwa kwenye mambo yakufikiria!.. maana ukigusia uhalisia umegusia vitu vingi mfano uwe na kansa huwezi kuiteketeza kwa njia hiyo, uwe huna mguu huwezi kuuotesha kwa nadharia yako!.Hello bosses and roses.
Leo nimekumbuka kitu, miaka ya zamani niliwah kuwa na maumivu ya mgogo yaani nikikaa tu nasikia mgongo unauma, hio hali ilikua inanipa shida sana hasa kipindi cha mitihani nikiwa shuleni, nashindwa kufocus kukimbizana na muda sababu ya maumivu ya mgongo, ila baadae nikaanza kutumia mbinu ya kujidanganya.
Yaani nilikua nikikaa nikaanza kuhisi maumivu basi nakaa kama dkk 2 hadi 5 najidanganya hayo maumivu siyasikii, nafocus kwenye kitu kingine kabisa mfano pale shuleni tulikua na lawns za green sana, nilikua naangalia dirishan nafocus kwenye huo ukijani wa lawn hadi feeling ya maumivu inakata kabisa na nasahau kama nina maumivu hayo.
Kisha nahamisha focus polepole kwenye mtihani naendelea.
Sikujua kumbe nilikua nafanya meditation bila kujua. Japo leo sitaki kuongelea kuhusu meditation, nataka niongelee kuhusu hii hali ya ubongo kutoweza kutofautisha kati ya uhalisia na illusion, bali inachukua kile ambacho utaweza kukiingiza huko kwenye ubongo.
Hii ndio sababu kuu inayofanya dogo wa shule fln ya boys huko ndanindani afanye s.ex na Beyoncee aliepo marekani, na akapizi kama vile kweli kabisa yupo na Beyoncee kupitia tu masturbation sababu ubongo wenyewe hauwezi kutofautisha beyonce halisi na huyo wa akilini kwako, hivyo dogo akiweza kuvuta zile hottest pictures za beyonce basi ubongo unajua beyonce yuko hapa anakamuliwa sshv, na ubongo utatuma signal damu iende huko chini, mnara unasoma na ukisiguliwa kwa muda dogo anamaliza kazi, same end result kwa huyohuyo lets say JayZ anaekula hio mali live.
Hivyo basi hio hack ni muhimu sana, ukiweza kuitumia itakusaidia kuvuka hali zozote mbaya unazopitia kwenye maisha, itakuondolea depression, itakusaidia kucontrol maumivu, etc......
Peace!
~ kali linux
Tena akili ni most dangerous weapon on the world, chochote kile inachotaka utafanya na matokeo utayapata tu kama haujajua namna ya kuendesha akili yako, maana kila kitu kinaanzia kwenye kwenye akili na kinatakiwa kiishie kwenye akili kwa haraka sana kabla hakijaleta madhara.Akili yako inaweza kukugeuka na ikakuletea matokeo negative.
Hakika..kuna mzee mmoja anaitwa Sadhguru ni muhindi. Huyo mzee ni legend wa Hizo mamboTena akili ni most dangerous weapon on the world, chochote kile inachotaka utafanya na matokeo utayapata tu kama haujajua namna ya kuendesha akili yako, maana kila kitu kinaanzia kwenye kwenye akili na kinatakiwa kiishie kwenye akili kwa haraka sana kabla hakijaleta madhara.
Vip mkuu nikifikiria kuwa nimepata hela nyingi pia inaweza ikawa ni kweli?/Hello bosses and roses.
Leo nimekumbuka kitu, miaka ya zamani niliwah kuwa na maumivu ya mgogo yaani nikikaa tu nasikia mgongo unauma, hio hali ilikua inanipa shida sana hasa kipindi cha mitihani nikiwa shuleni, nashindwa kufocus kukimbizana na muda sababu ya maumivu ya mgongo, ila baadae nikaanza kutumia mbinu ya kujidanganya.
Yaani nilikua nikikaa nikaanza kuhisi maumivu basi nakaa kama dkk 2 hadi 5 najidanganya hayo maumivu siyasikii, nafocus kwenye kitu kingine kabisa mfano pale shuleni tulikua na lawns za green sana, nilikua naangalia dirishan nafocus kwenye huo ukijani wa lawn hadi feeling ya maumivu inakata kabisa na nasahau kama nina maumivu hayo.
Kisha nahamisha focus polepole kwenye mtihani naendelea.
Sikujua kumbe nilikua nafanya meditation bila kujua. Japo leo sitaki kuongelea kuhusu meditation, nataka niongelee kuhusu hii hali ya ubongo kutoweza kutofautisha kati ya uhalisia na illusion, bali inachukua kile ambacho utaweza kukiingiza huko kwenye ubongo.
Hii ndio sababu kuu inayofanya dogo wa shule fln ya boys huko ndanindani afanye s.ex na Beyoncee aliepo marekani, na akapizi kama vile kweli kabisa yupo na Beyoncee kupitia tu masturbation sababu ubongo wenyewe hauwezi kutofautisha beyonce halisi na huyo wa akilini kwako, hivyo dogo akiweza kuvuta zile hottest pictures za beyonce basi ubongo unajua beyonce yuko hapa anakamuliwa sshv, na ubongo utatuma signal damu iende huko chini, mnara unasoma na ukisiguliwa kwa muda dogo anamaliza kazi, same end result kwa huyohuyo lets say JayZ anaekula hio mali live.
Hivyo basi hio hack ni muhimu sana, ukiweza kuitumia itakusaidia kuvuka hali zozote mbaya unazopitia kwenye maisha, itakuondolea depression, itakusaidia kucontrol maumivu, etc......
Peace!
~ kali linux
Anhaa hapo sasa nimekupata..!!kakosea kukuelezea rahisi ni hivi ubongo ni kiwanda fikra ndio product inayozalishwa na ubongo.
Hio analogy yako nayo haipo sahihi sana kwa sababu bado kuna debate inaendeleakakosea kukuelezea rahisi ni hivi ubongo ni kiwanda fikra ndio product inayozalishwa na ubongo.
Kuna kitu hujafahamu bado.Mada yako inaweza ikawa ipo sahihi lkn umechanganya mambo, nafikiri nadharia yako haifanyi kazi sehemu zote isipokuwa kwenye mambo yakufikiria!.. maana ukigusia uhalisia umegusia vitu vingi mfano uwe na kansa huwezi kuiteketeza kwa njia hiyo, uwe huna mguu huwezi kuuotesha kwa nadharia yako!.
nakupinga hapa ubongo unajua halisi na kisicho halisi.. kumbuka misamiati yote hiyo miwili imetoka kwenye huohuo ubongo kwa maana ubongo uligundua tofauti hizo!.