Kizuri ni kwamba ubongo haujui tofauti kati ya reality na illusion. Tumia hio hack kwa manufaa yako

Kizuri ni kwamba ubongo haujui tofauti kati ya reality na illusion. Tumia hio hack kwa manufaa yako

Hivi kumbe Ubongo na Fikra ni vitu viwili tofauti .....🤔
Yes UBONGO (BRAIN) NI TOFAUTI NA FIKRA (MIND), UBONGO NI KAMA CONTROL BOX/SERVANT KWENYE MWILI NA FIKRA NI KAMA TECHNICIAN/ MASTER WA UBONGO/CONTROL BOX/ SERVANT, UBONGO(SERVANT) WENYEWE HAUFIKIRI BALI UNAPOKEA MAELEKEZO TOKA KWENYE FIKRA(MIND) YAWE MAZURI AU MABAYA ALAFU UNATENDA KULINGANA NA MAELEKEZO YA FIKRA(MIND), NJIA JAMAA AMBAYO AMEELEZEA HAPO NI INAMAANISHA WAKATI FIKRA IMETUMA TAARIFA MBAYA KWENDA KWENYE UBONGO KABLA HAUJATENDEA KAZI HIYO TAARIFA, AU UBONGO UMEANZA KUTENDEA KAZI TU KWA KUTUMIA TENA FIKRA(MIND) UNATUMA TENA TAARIFA TOFAUTI NA ILE YA MWANZO HIVYO UBONGO(SERVANT) UTAANZA KUTENDEA KAZI TAARIFA MPYA ILE YA MWANZO MBAYA ITAKUWA IMEPOTEA, NOTE TECHNIQUE HII SIO RAHISI INAHITAJI PRACTICE PRACTICE.
 
Yes UBONGO (BRAIN) NI TOFAUTI NA FIKRA (MIND), UBONGO NI KAMA CONTROL BOX/SERVANT KWENYE MWILI NA FIKRA NI KAMA TECHNICIAN/ MASTER WA UBONGO/CONTROL BOX/ SERVANT, UBONGO(SERVANT) WENYEWE HAUFIKIRI BALI UNAPOKEA MAELEKEZO TOKA KWENYE FIKRA(MIND) YAWE MAZURI AU MABAYA ALAFU UNATENDA KULINGANA NA MAELEKEZO YA FIKRA(MIND), NJIA JAMAA AMBAYO AMEELEZEA HAPO NI INAMAANISHA WAKATI FIKRA IMETUMA TAARIFA MBAYA KWENDA KWENYE UBONGO KABLA HAUJATENDEA KAZI HIYO TAARIFA, AU UBONGO UMEANZA KUTENDEA KAZI TU KWA KUTUMIA TENA FIKRA(MIND) UNATUMA TENA TAARIFA TOFAUTI NA ILE YA MWANZO HIVYO UBONGO(SERVANT) UTAANZA KUTENDEA KAZI TAARIFA MPYA ILE YA MWANZO MBAYA ITAKUWA IMEPOTEA, NOTE TECHNIQUE HII SIO RAHISI INAHITAJI PRACTICE PRACTICE.
Anhaa kumbe 👏
 
20241112_064439.jpg
 
Hello bosses and roses.

Leo nimekumbuka kitu, miaka ya zamani niliwah kuwa na maumivu ya mgogo yaani nikikaa tu nasikia mgongo unauma, hio hali ilikua inanipa shida sana hasa kipindi cha mitihani nikiwa shuleni, nashindwa kufocus kukimbizana na muda sababu ya maumivu ya mgongo, ila baadae nikaanza kutumia mbinu ya kujidanganya.

Yaani nilikua nikikaa nikaanza kuhisi maumivu basi nakaa kama dkk 2 hadi 5 najidanganya hayo maumivu siyasikii, nafocus kwenye kitu kingine kabisa mfano pale shuleni tulikua na lawns za green sana, nilikua naangalia dirishan nafocus kwenye huo ukijani wa lawn hadi feeling ya maumivu inakata kabisa na nasahau kama nina maumivu hayo.

Kisha nahamisha focus polepole kwenye mtihani naendelea.

Sikujua kumbe nilikua nafanya meditation bila kujua. Japo leo sitaki kuongelea kuhusu meditation, nataka niongelee kuhusu hii hali ya ubongo kutoweza kutofautisha kati ya uhalisia na illusion, bali inachukua kile ambacho utaweza kukiingiza huko kwenye ubongo.

Hii ndio sababu kuu inayofanya dogo wa shule fln ya boys huko ndanindani afanye s.ex na Beyoncee aliepo marekani, na akapizi kama vile kweli kabisa yupo na Beyoncee kupitia tu masturbation sababu ubongo wenyewe hauwezi kutofautisha beyonce halisi na huyo wa akilini kwako, hivyo dogo akiweza kuvuta zile hottest pictures za beyonce basi ubongo unajua beyonce yuko hapa anakamuliwa sshv, na ubongo utatuma signal damu iende huko chini, mnara unasoma na ukisiguliwa kwa muda dogo anamaliza kazi, same end result kwa huyohuyo lets say JayZ anaekula hio mali live.

Hivyo basi hio hack ni muhimu sana, ukiweza kuitumia itakusaidia kuvuka hali zozote mbaya unazopitia kwenye maisha, itakuondolea depression, itakusaidia kucontrol maumivu, etc......


Peace!
~ kali linux
Mada yako inaweza ikawa ipo sahihi lkn umechanganya mambo, nafikiri nadharia yako haifanyi kazi sehemu zote isipokuwa kwenye mambo yakufikiria!.. maana ukigusia uhalisia umegusia vitu vingi mfano uwe na kansa huwezi kuiteketeza kwa njia hiyo, uwe huna mguu huwezi kuuotesha kwa nadharia yako!.

nakupinga hapa ubongo unajua halisi na kisicho halisi.. kumbuka misamiati yote hiyo miwili imetoka kwenye huohuo ubongo kwa maana ubongo uligundua tofauti hizo!.
 
Akili yako inaweza kukugeuka na ikakuletea matokeo negative.
Tena akili ni most dangerous weapon on the world, chochote kile inachotaka utafanya na matokeo utayapata tu kama haujajua namna ya kuendesha akili yako, maana kila kitu kinaanzia kwenye kwenye akili na kinatakiwa kiishie kwenye akili kwa haraka sana kabla hakijaleta madhara.
 
Tena akili ni most dangerous weapon on the world, chochote kile inachotaka utafanya na matokeo utayapata tu kama haujajua namna ya kuendesha akili yako, maana kila kitu kinaanzia kwenye kwenye akili na kinatakiwa kiishie kwenye akili kwa haraka sana kabla hakijaleta madhara.
Hakika..kuna mzee mmoja anaitwa Sadhguru ni muhindi. Huyo mzee ni legend wa Hizo mambo
 
Hello bosses and roses.

Leo nimekumbuka kitu, miaka ya zamani niliwah kuwa na maumivu ya mgogo yaani nikikaa tu nasikia mgongo unauma, hio hali ilikua inanipa shida sana hasa kipindi cha mitihani nikiwa shuleni, nashindwa kufocus kukimbizana na muda sababu ya maumivu ya mgongo, ila baadae nikaanza kutumia mbinu ya kujidanganya.

Yaani nilikua nikikaa nikaanza kuhisi maumivu basi nakaa kama dkk 2 hadi 5 najidanganya hayo maumivu siyasikii, nafocus kwenye kitu kingine kabisa mfano pale shuleni tulikua na lawns za green sana, nilikua naangalia dirishan nafocus kwenye huo ukijani wa lawn hadi feeling ya maumivu inakata kabisa na nasahau kama nina maumivu hayo.

Kisha nahamisha focus polepole kwenye mtihani naendelea.

Sikujua kumbe nilikua nafanya meditation bila kujua. Japo leo sitaki kuongelea kuhusu meditation, nataka niongelee kuhusu hii hali ya ubongo kutoweza kutofautisha kati ya uhalisia na illusion, bali inachukua kile ambacho utaweza kukiingiza huko kwenye ubongo.

Hii ndio sababu kuu inayofanya dogo wa shule fln ya boys huko ndanindani afanye s.ex na Beyoncee aliepo marekani, na akapizi kama vile kweli kabisa yupo na Beyoncee kupitia tu masturbation sababu ubongo wenyewe hauwezi kutofautisha beyonce halisi na huyo wa akilini kwako, hivyo dogo akiweza kuvuta zile hottest pictures za beyonce basi ubongo unajua beyonce yuko hapa anakamuliwa sshv, na ubongo utatuma signal damu iende huko chini, mnara unasoma na ukisiguliwa kwa muda dogo anamaliza kazi, same end result kwa huyohuyo lets say JayZ anaekula hio mali live.

Hivyo basi hio hack ni muhimu sana, ukiweza kuitumia itakusaidia kuvuka hali zozote mbaya unazopitia kwenye maisha, itakuondolea depression, itakusaidia kucontrol maumivu, etc......


Peace!
~ kali linux
Vip mkuu nikifikiria kuwa nimepata hela nyingi pia inaweza ikawa ni kweli?/
 
kakosea kukuelezea rahisi ni hivi ubongo ni kiwanda fikra ndio product inayozalishwa na ubongo.
Hio analogy yako nayo haipo sahihi sana kwa sababu bado kuna debate inaendelea

Wengine wanasema mind ni product ya ubongo lkn wengine wanadai mind ni product ya materialism & physical processes.

Sababu kuu ni kwamba mind inaweza ku-influence brain activities lkn pia brain activities zinaweza ku-influence mind. Kama vile tu Issue ya "kuku na yai kipi kilianza"

Ni debate ndefu sana hii kati ya pyschologists na philosophers

Lkn hio yote haiondoi fact kwamva you can hack your brain kama nlivoelezea hapo juu, na hio iko manifested na concepts nyingi mfano swala la masturbation kama nlivosemea hapo juu
 
Mada yako inaweza ikawa ipo sahihi lkn umechanganya mambo, nafikiri nadharia yako haifanyi kazi sehemu zote isipokuwa kwenye mambo yakufikiria!.. maana ukigusia uhalisia umegusia vitu vingi mfano uwe na kansa huwezi kuiteketeza kwa njia hiyo, uwe huna mguu huwezi kuuotesha kwa nadharia yako!.

nakupinga hapa ubongo unajua halisi na kisicho halisi.. kumbuka misamiati yote hiyo miwili imetoka kwenye huohuo ubongo kwa maana ubongo uligundua tofauti hizo!.
Kuna kitu hujafahamu bado.

Ulishasikia concept ya "Phantom Limb"?

Mwanajeshi mmoja kwenye WW2 alikatwa kabisa mguu lkn akawa bado anamwambia rafiki yake anahisi kikanyagio cha mguu wake kinauma. Why?

Because in reality jamaa kakatwa mguu na mguu haupo BUT in illusion ubongo unajua bado mguu upo sababu ya ile mapping iliopo kwenye mind, na ndio maana inatengeneza hadi hayo maumivu ya kwenye kikanyagio, but in due time mind itaadapt to reality na brain pia hivyo jio illusion kupotea.

Sasa nikirudi kwenye point yako, uko sahihi khs limits za hii hack, nakubali haifanyi kazi katika kila situations lkn kuna situations ambapo inafanya kazi lkn zinahitaji nguvu ya ziada ndio maana watu wanatumia madawa kama bangi na heroine kuidanganya akili yao, ila the end result ni hio hio nlosemea hapa yaani "Kutengeneza illusion ili kuhack ubongo u-concetrate energe eneo fln"
 
Back
Top Bottom