Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ni msimamo wa kanisa au msimamo wake?Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.