KKKT waunga mkono uwekezaji Bandarini, TEC nao wataunga tu

KKKT waunga mkono uwekezaji Bandarini, TEC nao wataunga tu

Hata TEC na watu wote wamesema nchini hawakatai uwekezaji tatizo ni baadhi ya vifungu vya mkataba na hiyo ndiyo hoja kuu inayoleta mvutano, cha pili ni aina ya uwekezaji uweje, haya ndiyo dini zote zinapigania. TEC,CCT,Bakwata nk. tusipotoshe. Suluhisho la mvutano huu ni kupitia upya makubaliano ili mambo yaendelee.
 
Kasema uwekezaji na si mkataba.
Na bado mnajifanya ni wasomi na kuwatukana waislamu hawajasoma!

Cha ajabu hata akili ya kuelewa vitu vidogovidogo huna.

Kuna uwekezaji usiokuwa na mkataba?

Ukishaunga mkono uwekezaji maana yake umekubali mikataba ya huo uwekezaji.

Shoo yeye anaunga mkono uwekezajiyoyote yule aje kuwekeza.

Sio kurekebisha vipengele vyenye mapungufu TEC wao hawautaki kabisa mkataba wenyewe yani kwa kifupi hawawataki DP world.

Tatizo nini mbona mikataba mingi ina mapungufu na hawajatoa tamko la kuikataa kwanini iwe DP world pekee au kwa sababu ni warabu(pengine wangekua wazungu wangewakubali) au kwa sababu maslahi yao yameguswa hapo bandarini?
 
Na bado mnajifanya ni wasomi na kuwatukana waislamu hawajasoma!

Cha ajabu hata akili ya kuelewa vitu vidogovidogo huna.

Kuna uwekezaji usiokuwa na mkataba?

Ukishaunga mkono uwekezaji maana yake umekubali mikataba ya huo uwekezaji.

Shoo yeye anaunga mkono uwekezajiyoyote yule aje kuwekeza.

Sio kurekebisha vipengele vyenye mapungufu TEC wao hawautaki kabisa mkataba wenyewe yani kwa kifupi hawawataki DP world.

Tatizo nini mbona mikataba mingi ina mapungufu na hawajatoa tamko la kuikataa kwanini iwe DP world pekee au kwa sababu ni warabu(pengine wangekua wazungu wangewakubali) au kwa sababu maslahi yao yameguswa hapo bandarini?
Limkataba lenu ni la kitumwa hatulitaki ni mpuuzi tu na mpumbavu atakubali kuukubali ule mkataba, yani watu mpo tayari kuwa watumwa katika Nchi yanu.
Shame on you. [emoji57]
 
Nafikiri hata TEC, hawana shida na uwekezaji, isipokuwa masharti, au miye ndiyo sikuelewa?!
 
Limkataba lenu ni la kitumwa hatulitaki ni mpuuzi tu na mpumbavu atakubali kuukubali ule mkataba, yani watu mpo tayari kuwa watumwa katika Nchi yanu.
Shame on you. [emoji57]
Huna akili!
 
Punguzeni uongo. Mtu anayeunga mkono ataweka condition ya kwamba maoni yao yasipofatwa watatoka hadharani?
 
Na bado mnajifanya ni wasomi na kuwatukana waislamu hawajasoma!

Cha ajabu hata akili ya kuelewa vitu vidogovidogo huna.

Kuna uwekezaji usiokuwa na mkataba?

Ukishaunga mkono uwekezaji maana yake umekubali mikataba ya huo uwekezaji.

Shoo yeye anaunga mkono uwekezajiyoyote yule aje kuwekeza.

Sio kurekebisha vipengele vyenye mapungufu TEC wao hawautaki kabisa mkataba wenyewe yani kwa kifupi hawawataki DP world.

Tatizo nini mbona mikataba mingi ina mapungufu na hawajatoa tamko la kuikataa kwanini iwe DP world pekee au kwa sababu ni warabu(pengine wangekua wazungu wangewakubali) au kwa sababu maslahi yao yameguswa hapo bandarini?
Acheni kulazimisha mambo. Uwekezaji hapingwi Bali vifungu vya mkataba wa uwekezaji. Shoo kaunga mkono Nia njema ya uwekezaji ila amekuwa kimya kwenye mkataba maana walishapeleka maoni yao ikulu wanasubiri Kama yatatekelezwa.
 
Nafikiri hata TEC, hawana shida na uwekezaji, isipokuwa masharti, au miye ndiyo sikuelewa?!

Acheni kulazimisha mambo. Uwekezaji hapingwi Bali vifungu vya mkataba wa uwekezaji. Shoo kaunga mkono Nia njema ya uwekezaji ila amekuwa kimya kwenye mkataba maana walishapeleka maoni yao ikulu wanasubiri Kama yatatekelezwa.
Ikulu inafanyia kazi maoni ya watu na taasisi mbalimbali kuhusu mkataba.

Hata shura ya maimamu walishatoa maoni yao kwamba vipengele vyenye mapungufu virekebishwe.

Kilichowafanya TEC waje mbele na kuanza kusambaza waraka kanisani na vigangoni na kutoa mpaka lugha za vitisho kwamba hatubahatishi tuna mizizi mirefu tafsiri yake nini?

Mbona KKKT hawajasambaza kwa waumini wao kama wafanyavyo katoliki?

Kimsingi TEC wanajidanganya wao ni alfa na omega na wako juu kuliko serikali kitu ambacho ni uongo na kujilisha upepo tu.
 
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.

Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.

=========

Naomba ieleweke wazi Kanisa linaunga mkono uwekezaji, hatupingi uwekezaji na tunajua wewe kwenye nia yako unataka uwekezaji, hata hivyo jambo hilo limekuwa na maoni mbalimbali ya wananchi na vyombo vya habari, lakini Mheshimiwa Rais tunatambua kwamba sisi viongozi wa dini zote tuliomba kuja kukuona pale mwanzoni na ulitupokea na tulikuletea maoni yetu kama viongozi wakuu wa dini, ukaahidi kuwa maoni yatafanyiwa kazi, tuna imani na wewe
Safi kabisa
 
Mods hakikisheni kama ni kweli KKKT wamesema wanaunga mkono uwekezaji,licha ya mkataba kuonekana una kasoro katika baadhi ya vipengele.Kama habari iliyoletwa humu,ni upotoshaji,basi mfute uzi.Baadhi ya wadau,hutumia JF kama rejea.
Unateseka ukiwa wapi?
 
Back
Top Bottom