KKKT waunga mkono uwekezaji Bandarini, TEC nao wataunga tu

KKKT waunga mkono uwekezaji Bandarini, TEC nao wataunga tu

"Naomba ieleweke wazi Kanisa linaunga mkono uwekezaji, hatupingingi uwekezaji na tunajua wewe kwenye nia yako unataka uwekezaji, hata hivyo jambo hilo limekuwa na maoni mbalimbali ya wananchi na vyombo vya habari, lakini Mheshimiwa Rais tunatambua kwamba sisi viongozi wa dini zote tuliomba kuja kukuona pale mwanzoni na ulitupokea na tulikuletea maoni yetu kama viongozi wakuu wa dini, ukaahidi kuwa maoni yatafanyiwa kazi, tuna imani na wewe"

"Ninatambua kuwa ulipokea kijiti katika mazingira magumu sana, lakini pia pamoja na mazingira yale wewe ukaanza historia mpya ya nchi yetu ya kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais, kuna wengi hawakuamini, hawakutaki na mpaka leo wamebaki na jinamizi la namna hii, huu ulikuwa ni mpango wa Mungu"

"Najua katika jambo hilo linaelekea mahali tunataka kugawanyika kabisa, wengine wanatumia sababu za kidini, wengine wana maslahi yao ya kisiasa na kiuchumi, nashukuru Mungu amekujalia hekima kama mama na kiongozi, umekaa kimya" - Askofu Dk Fredrick Shoo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).
Miaka60YaKKKT
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngoja pumzi mkononi wametoka kushiba makande waje Sasa
Dp world karibuni Tanzania [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
"Naomba ieleweke wazi Kanisa linaunga mkono uwekezaji, hatupingingi uwekezaji na tunajua wewe kwenye nia yako unataka uwekezaji, hata hivyo jambo hilo limekuwa na maoni mbalimbali ya wananchi na vyombo vya habari, lakini Mheshimiwa Rais tunatambua kwamba sisi viongozi wa dini zote tuliomba kuja kukuona pale mwanzoni na ulitupokea na tulikuletea maoni yetu kama viongozi wakuu wa dini, ukaahidi kuwa maoni yatafanyiwa kazi, tuna imani na wewe"

"Ninatambua kuwa ulipokea kijiti katika mazingira magumu sana, lakini pia pamoja na mazingira yale wewe ukaanza historia mpya ya nchi yetu ya kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais, kuna wengi hawakuamini, hawakutaki na mpaka leo wamebaki na jinamizi la namna hii, huu ulikuwa ni mpango wa Mungu"

"Najua katika jambo hilo linaelekea mahali tunataka kugawanyika kabisa, wengine wanatumia sababu za kidini, wengine wana maslahi yao ya kisiasa na kiuchumi, nashukuru Mungu amekujalia hekima kama mama na kiongozi, umekaa kimya" - Askofu Dk Fredrick Shoo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).
Miaka60YaKKKT
Hivi TEC inapinga uwekezaji au inapinga mkataba wa DPW?
 
Ukatoriki, Uislam au Ukristo ni imani zinapaswa kubaki kama imani tu.

Tanzania ni ya watanzania, Watanzania tunapaswa kuwa watanzania na kupendana wenyewe kama watanzania bila kuconsider hizi dini.
 
"Naomba ieleweke wazi Kanisa linaunga mkono uwekezaji, hatupingingi uwekezaji na tunajua wewe kwenye nia yako unataka uwekezaji, hata hivyo jambo hilo limekuwa na maoni mbalimbali ya wananchi na vyombo vya habari, lakini Mheshimiwa Rais tunatambua kwamba sisi viongozi wa dini zote tuliomba kuja kukuona pale mwanzoni na ulitupokea na tulikuletea maoni yetu kama viongozi wakuu wa dini, ukaahidi kuwa maoni yatafanyiwa kazi, tuna imani na wewe"

"Ninatambua kuwa ulipokea kijiti katika mazingira magumu sana, lakini pia pamoja na mazingira yale wewe ukaanza historia mpya ya nchi yetu ya kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais, kuna wengi hawakuamini, hawakutaki na mpaka leo wamebaki na jinamizi la namna hii, huu ulikuwa ni mpango wa Mungu"

"Najua katika jambo hilo linaelekea mahali tunataka kugawanyika kabisa, wengine wanatumia sababu za kidini, wengine wana maslahi yao ya kisiasa na kiuchumi, nashukuru Mungu amekujalia hekima kama mama na kiongozi, umekaa kimya" - Askofu Dk Fredrick Shoo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).
Miaka60YaKKKT
Yaani katika kitu nasikitika, ni kutokuwa na uwezo wa kuongea kama hivi. Haya maneno yananifanya niisikie amani ingawa haizungumzi wala kutoa sauti yoyote ile; yananifanya niione amani ingawa si kitu cha kuonekana; yananifanya nivute harufu ya amani ingawa haina harufu; yananifanya nijisikie faraja mbele ya changamoto lukuki zinazonikabili.

Maneno haya ndo tafsiri sahihi ya usomi, ndo tafsiri sahihi ya ucha Mungu, ndo tafsiri sahihi ya kutokuwa mbaguzi wa kidini, ndo tafsiri sahihi ya kutokuwa na upendeleo, ndo rafsiri sahihi ya kutokuwa mnafiki na mzandiki. Mungu akupe hekma zaidi baba askofu Shoo. Hii ndo sauti ya watu; hii ndo sauti ya Mungu!!! Aaamina! Amiiina!!!!
 
Yaani katika kitu nasikitika, ni kutokuwa na uwezo wa kuongea kama hivi. Haya maneno yananifanya niisikie amani ingawa haizungumzi wala kutoa sauti yoyote ile; yananifanya niione amani ingawa si kitu cha kuonekana; yananifanya nivute harufu ya amani ingawa haina harufu; yananifanya nijisikie faraja mbele ya changamoto lukuki zinazonikabili.

Maneno haya ndo tafsiri sahihi ya usomi, ndo tafsiri sahihi ya ucha Mungu, ndo tafsiri sahihi ya kutokuwa mbaguzi wa kidini, ndo tafsiri sahihi ya kutokuwa na upendeleo, ndo rafsiri sahihi ya kutokuwa mnafiki na mzandiki. Mungu akupe hekma zaidi baba askofu Shoo. Hii ndo sauti ya watu; hii ndo sauti ya Mungu!!! Aaamina! Amiiina!!!!
Ila baadaye KKKT wakitoa na waraka wao ukawa tofauti na upendavyo,usimkasirikie Baba Askofu F. Shoo,Ph.D.
 
Lengo la waraka wa TEC ni kuchonganisha na kugonganisha wananchi, viongozi na Seriakali hilo ndio lengo kuu ambalo wao ndio wanalijua.

Inasikitisha sana kwa Baraza kupenyeza hoja hizo kwa njia ya KIDINI....hili sio jambo zuri hata kidogo zaidi ya kuipasua jamii yetu.
 
Ukatoriki, Uislam au Ukristo ni imani zinapaswa kubaki kama imani tu.

Tanzania ni ya watanzania, Watanzania tunapaswa kuwa watanzania na kupendana wenyewe kama watanzania bila kuconsider hizi dini.
Comment bora ya kutwa nzima hii, pokea maua yako👏👏👏👏.
 
"Naomba ieleweke wazi Kanisa linaunga mkono uwekezaji, hatupingingi uwekezaji na tunajua wewe kwenye nia yako unataka uwekezaji, hata hivyo jambo hilo limekuwa na maoni mbalimbali ya wananchi na vyombo vya habari, lakini Mheshimiwa Rais tunatambua kwamba sisi viongozi wa dini zote tuliomba kuja kukuona pale mwanzoni na ulitupokea na tulikuletea maoni yetu kama viongozi wakuu wa dini, ukaahidi kuwa maoni yatafanyiwa kazi, tuna imani na wewe"

"Ninatambua kuwa ulipokea kijiti katika mazingira magumu sana, lakini pia pamoja na mazingira yale wewe ukaanza historia mpya ya nchi yetu ya kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais, kuna wengi hawakuamini, hawakutaki na mpaka leo wamebaki na jinamizi la namna hii, huu ulikuwa ni mpango wa Mungu"

"Najua katika jambo hilo linaelekea mahali tunataka kugawanyika kabisa, wengine wanatumia sababu za kidini, wengine wana maslahi yao ya kisiasa na kiuchumi, nashukuru Mungu amekujalia hekima kama mama na kiongozi, umekaa kimya" - Askofu Dk Fredrick Shoo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).
Miaka60YaKKKT
Kwani TEC lini walikataa uwekezaji wa Bandari? Wote wenye akili wanakataa mkataba si uwekezaji
 
Back
Top Bottom