mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 992
Mwenye link ya live streaming game ya leo, asisite kushare nasi.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kumbuka pia game ziko live dstv na utopolo azamtv pia kaz ni kwakoMwenye link ya live streaming game ya leo, asisite kushare nasi.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Vuta subira, huenda kuna kitu mwalimu kakiona kwake kwenye hii mechi mkuu.Dilunga anaanza, sina uhakika kama ni maamuzi sahihi
Hanaga basic football IQ, huwa anafanya mambo mengi ya kijinga
Kuwa yupo kairukiDogo unaumia ukiwa wapi ?
Muda umefika wa ndoto yako, me nmeota mtu kala 4 homeDunguzanguni siku leo Nimeota nyota ya dilunga inan'gara na atafunga goal
Dilunga ana kasi na huwa ni mpambanaji uwanjani, tatizo lake akikaribia tu lango la mpinzani huwa anafanya maamuzi mabovu sana. Unakuta anataka kufunga wakati mchezaji mwingine yuko kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga au anapoteza mipira kijinga na kusababisha mashambulizi kuelekea upande wetuVuta subira,uwenda kuna kitu mwalimu kakiona kwake kwenye hii mechi mkuu.
Presha inanipanda kabisaVuta subira,uwenda kuna kitu mwalimu kakiona kwake kwenye hii mechi mkuu.
Dstv inaoneshwa channel namba ngapi mkuu?Na kumbuka pia game ziko live dstv na utopolo azamtv pia kaz ni kwako
Channel gani ya Azam mkuu I'm getting dizzyKabla ya kuanzisha huu uzi uliangalia kama kuna mwengine wa kufanana na huu?
Au unajiskia tu raha kuanzisha uzi?
Wakuu channel ganChannel gan ya Azam mkuu I'm getting dizzy