Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

Kutoka katika ukurasa rasmi wa CAF huko twitterView attachment 1710263
Haw jamaa washajua wakiposti vitu about simba wanapata interaction kubwa sanaa

Kaangalie idadi ya comen sahres and likes wanazo pata wakiposti vitu tofauti na wakiposti about simba sasa hivi wemamua kua fan kabisa ..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
jifunze kubalance shobo,utakuja kufa bila sababu ya msingi
 

jifunze kubalance shobo,utakuja kufa bila sababu ya msingi
Siwezi kuwa na shobo timu yenye kuamini katika ulozi
 
Hata wewe tunaweza kuotea tukakugonga
Kwa mbinde sana unakumbuka march 8, vp mapinduzi cup sema iliotea kuchomoa ile majuzi baada ya babu kupigizwa kichwa kwenye mchanga na fundi T.K
 
Ngoja NAMUNGO waingie makundi mlingane nao historia kwenye shirikisho.

Huku klabu bingwa ni SIMBA tu ndio anapaweza
historia inasema wananchi ndio club ya kwanza kufika robo fainala ligi ya mabingwa afrika

historia inasema wananchi ndo club ya kwanza kuingia makundi club bingwa afrika
Historia inasema kwa soka safi la wananchi ilibidi hadi irushwe shilingi yanga vs asante kotoko ili kumpata mshindi wa kuendele nusu fainal.

kama paka fc tu hawezi fikia rekodi hizo itakuwa Namungo mkuu acha utani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…