Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

Dstv inaoneshwa channel namba ngapi mkuu?
270 jifunzeni kuwauliza dstv game zinapoanza au siku husika wanakujibuni tu kama hivi
 

Attachments

  • Screenshot_2021-02-23-15-45-34-474_com.facebook.orca.jpg
    98 KB · Views: 2
Simba wapo porini tu hawa wa mjini ni paka

Tutaongea jioni asanteni.
 
Niwadokeze kidogo, weka 500,000 ubeti Al ahly anashinda, jioni ukunje milioni na ushee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…