Watanzania sisi ni ndugu Mkuu, no hard feelings [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ahsante Team yangu pendwa najisikia furaha ya ajabu
Tunahitaji kujipongeza[emoji482] [emoji481]
Dharau kama hizi tulizitarajia ngoja waje wanaume.
Ila Sweetleee una maneno. 😃😃😃Hahaaaaaaa mtahama sana Mwaka huu.
Wakati mnaisifia hamkujua kuwa ni Mdebwedo[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui nyuso zetu tungezificha wapiKwakweli jipongezeni maana hapa wapambe tumekuwa wapole ingekuwa viceversa mngekoma leo.[emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaa. Ndio nashangaa ujue. Sababu yawapasa washangilie saa hizi na si kutoka povu.Achana nae ndezi huyo 🤣🤣🤣
Sijui mapovu ya nini wakati sisi tulikuwa wapambe wa Waarabu. I
Sent from my iPhone using JamiiForums
🤣🤣🤣 lol
Arsenal kafungwa.
Simba kashinda.
Kesho Man Utd akishinda, Weekend murua kabisaaa.
Mikia ndio zao wavumilie tuHahaaa. Ndio nashangaa ujue. Sababu yawapasa washangilie saa hizi na si kutoka povu.
Itakuwa hawajui maana ya Utani.
Ila Sweetleee una maneno. [emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23]man of the match
referee
Sinyie mlisema simba underdog acheni kutapatapa kila anaekuja kwetu kichapo tuDharau kama hizi tulizitarajia ngoja waje wanaume.