Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Kwakweli jipongezeni maana hapa wapambe tumekuwa wapole ingekuwa viceversa mngekoma leo.[emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sijui nyuso zetu tungezificha wapi

Wachezaji wametuondolea aibu huku mtaani, tunatembea vifua mbele
 
once a mkia always a mkia,hawa Saura wangekutana na mashujaa wangepigwa kumi
 
Achana nae ndezi huyo 🤣🤣🤣
Sijui mapovu ya nini wakati sisi tulikuwa wapambe wa Waarabu. I


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaa. Ndio nashangaa ujue. Sababu yawapasa washangilie saa hizi na si kutoka povu.

Itakuwa hawajui maana ya Utani.
 
Back
Top Bottom