Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Inasikitisha kweli

Na test mitambo
Mwenzenu nilianza kunawiri kidogo maana mi nimwemba. sasa wananirudisha tena Misri yani ni taabu. kuna shemeji yenu moja alinitesa sana nilimvumilia miaka 9 lkn mwisho wa siku nikakaa chini nikaona ntakufa bure kwa presha nikampiga chini. lakini kwa hii timu nashindwa hata kwenda kwa mkopo sehemu, yaani kama nimechanjiwa nalo. linanitesa kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzenu nilianza kunawiri kidogo maana mi nimwemba. sasa wananirudisha tena Misri yani ni taabu. kuna shemeji yenu moja alinitesa sana nilimvumilia miaka 9 lkn mwisho wa siku nikakaa chini nikaona ntakufa bure kwa presha nikampiga chini. lakini kwa hii timu nashindwa hata kwenda kwa mkopo sehemu, yaani kama nimechanjiwa nalo. linanitesa kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka tue Kama wasomali. ...... Arsenal inakadawa sijui .....mech ijayo utasikia tumeshnda,,,,,mara inayofuata kipigo ,,,apa ndo nakondaga mimi

Na test mitambo
 
...very true and my prediction if we don’t put our act together that will happen before February. SAD!
Tunaweza kosa hata Europa .... ninaanza kuwa na wasiwas.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Na test mitambo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom