Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

HII ndio Simba hata tupangiwe mechi kumi mfululizo tutacheza kwani tuna kikosi kipana na kesho tunacheza fainali ya mapinduzi wale wachambuzi uchwara wakina shafii daudi waliokuwa wanasema simba ndio timu dhaifu sijui wamejifungia wapi
 
Nyie wakuda wa Msimbazi hongereni, mmecheza vizuri.
Mpira umeisha sasa mambo mengine yaendelee, ushindi wenu ni sifa kwetu sote maana sote tu Watanzania.
Mengine yalikuwa changamsha genge tu [emoji41].

Tanzania comes first [emoji12]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Umerudi JF Nifah wa "The Bold"
 
HII ndio Simba hata tupangiwe mechi kumi mfululizo tutacheza kwani tuna kikosi kipana na kesho tunacheza fainali ya mapinduzi wale wachambuzi uchwara wakina shafii daudi waliokuwa wanasema simba ndio timu dhaifu sijui wamejifungia wapi


Kikosi kipana wakati Kesho unasafirisha kikosi kirudi zake Zenji kucheza Fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ndo madhara ya kuchelewa kuja mjini.

Unaparamia basi la kwenda Ubungo kumbe unaenda Chanika

Vyura [emoji196][emoji196][emoji196]wametepeta kama mate ya mlevi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
IMG_20190112_192206_487.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah wewe kumbe ni mwanachama wa Ndala Fc
Nyie wakuda wa Msimbazi hongereni, mmecheza vizuri.
Mpira umeisha sasa mambo mengine yaendelee, ushindi wenu ni sifa kwetu sote maana sote tu Watanzania.
Mengine yalikuwa changamsha genge tu [emoji41].

Tanzania comes first [emoji12]


Sent from my iPhone using JamiiForums
haha
 
Back
Top Bottom