Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Mmecheza na tim ambayo sio wazoefu wa haya mashindano, subirini Al ahly or Vita club mtachapwa nyingi sanaa....


Vivaa Wydad Casablanca
Tulimvua zamalek ubingwa wa Africa hapo hapo Cairo, au ulikuwa hujazaliwa??

Waarabu kwetu sio shida, Labda wajitahidi tuu kupunguza idadi ya magoli, ila kipigo kipo pale pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema mliokuwa Dar kwa Sasa wanatuangusha Hawa tulitakiwa tuanze kuwazomea pindi wanashuka tuu uwanja wa ndege na kuonyesha tunawachinja na wakikutana na jezi za Simba tuu...Kama wao wanavyotufanyiaga tukienda kwao ila sisi tunawapokea Kama Bibi harusi vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Jee uliwahi kwenda kwao ukazomewa ukingali uwanja wa ndege? Huo siyo ustaarabu. Mpira mshinde mpinzani uwanjani na si nje ya uwanja (kwa mfano kwenye uwanja wa ndege; au hotelini walikofikia). Wala usimfanyie mabaya baada ya kipenga cha mwisho. Tunabakia wapinzani katika mpira na si maadui.
 
Nilipoona matokeo ya juzi nikawakumbuka Haras el Hodoooooooooooood walivyotundunda!
 
Back
Top Bottom