Klabu Bingwa Afrika: Yanga 1 - 1 Al Ahly, 9 Aprili 2016

Klabu Bingwa Afrika: Yanga 1 - 1 Al Ahly, 9 Aprili 2016

KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA DHIDI YA AL AHLY LEO, HIKI HAPA…
1. Ally Mustapha
2. Juma Abdul
3. Mwinyi Haji
4. Kelvin Yondani
5. Vicent Bossou
6. Thabani Kamusoko
7. Deus Kaseke
8. Salum Telela
9. Amissi Tambwe
10. Donald Ngoma
11. Yousouf Boubacary
BENCHI:
Deo Munishi
Oscar Joshua
Pato Ngonyani
Geofrey Mwahiuya
Simon Msuva

Paul Nonga


Asante kwa taarifa..!
 
Request Rejected
Sina hakika sana, Ila kuna uwezekano mkubwa mechi ikaonyweshwa online katika link hiyo hapo juu toka kwenye website ya klabu ya al ahly
 
Nawaona waarabu weusi wamepooza! wale weupe wamevua mashati huku wakipiga mangoma yao kama vile hawana akili. Au wanasubiria timu ya wananchi ifungwe ndio sasa walipuke kwa shangwe!!!

Kujipendekeza kugumu! na nyinyi yanga wakija tena tp mazembe msirudie kuvaa yale manyakanyaka yao.
 
zilirud 2 za taifa stars vs algeria hazitarud 2 za yanga vs al ahly.
 
Safi sana Aly Ahly.. Waongezeni nyingine nyingi.
 
...wakimataifa wameshapewa kidole cha muarabu....
 
Wamatopeni naona mnashangilia kweli.
 
...mabeki wote wanne wameingia golini kwa kichwa kimoja cha muarabu,pambaf....!!
 
Back
Top Bottom