Klabu ya Al Ahly ya Nchini Misri imegoma kushiriki mechi yao ya dabi dhidi ya Zamalek

Klabu ya Al Ahly ya Nchini Misri imegoma kushiriki mechi yao ya dabi dhidi ya Zamalek

Scenario ni tofauti kule sio kama Makomandoo wa Zamalek wamewazuia Al Ahly kufanya mazoezi.

Hapana.

Club zote kubwa zinataka kuona sheria inafuatwa.

Madai ya Al Ahly ni dhidi ya bodi ya ligi ya Misri kukiuka makubaliano ya sheria kuhusu mwamuzi wa kuchezesha mechi ili kuwe na fairness kwenye mchezo.

Al Ahly hawataki hii mechi achezeshe Kayoko wanataka aletwe mwamuzi kutoka nje ambaye hatokuwa na upande wowote kwenye hizi timu.
Eti ..Scenario tofauti..kwa misri na Tanzania si tofauti...hapa tunazungumzia action ya kugoma kucheza darby kama Simba.....mambo ya scenario mlizokaririsha inaangukia katika sababu tu ila action ya kugoma darby..same same action na Simba..acha siasa za maji taka
 
Eti ..Scenario tofauti..kwa misri na Tanzania si tofauti...hapa tunazungumzia action ya kugoma kucheza darby kama Simba.....mambo ya scenario mlizokaririsha inaangukia katika sababu tu ila action ya kugoma darby..same same action na Simba..acha siasa za maji taka
Usipo ujua umuhimu wa msingi kwa kuta ndefu ni sawa na kuzipanda mbigili na kuja peku
 
Ukiona hivyo wanakimudu chama chao cha soka.
Walikuwa wamekubaliana tangu mwanzo wa ligi kuwa marefa watakaochezesha michezo ya Al Ahly, Pyramids, Zamalek na Al Masry watoke kwenye ligi za nje ya nchi. Chama chao cha soka kinataka kupindisha makubaliano.
 
Scenario ni tofauti kule sio kama Makomandoo wa Zamalek wamewazuia Al Ahly kufanya mazoezi.

Hapana.

Club zote kubwa zinataka kuona sheria inafuatwa.

Madai ya Al Ahly ni dhidi ya bodi ya ligi ya Misri kukiuka makubaliano ya sheria kuhusu mwamuzi wa kuchezesha mechi ili kuwe na fairness kwenye mchezo.

Al Ahly hawataki hii mechi achezeshe Kayoko wanataka aletwe mwamuzi kutoka nje ambaye hatokuwa na upande wowote kwenye hizi timu.
HAWATAKI kama nani mbafuuuzao
 
Walikuwa wamekubaliana tangu mwanzo wa ligi kuwa marefa watakaochezesha michezo ya Al Ahly, Pyramids, Zamalek na Al Masry watoke kwenye ligi za nje ya nchi. Chama chao cha soka kinataka kupindisha makubaliano.
Hamna chama cha Soka kinacho kubali ujinga huo kwani ukifanya hivyo unaumiza marefa wa nchini kwako na hayo makubaliano hayapo bali wasiwasi wao ila hakipo chama hiko cha soka hata TFF wenyewe hawawezi kukubali.

Nchi za America kusini Derby zao zinafujo sana naweza kusema kuliko Derby za mabara mengine ila bado marefa wanatumia wa kwao.
 
SimbaSC NguvuMoja #UbayaUbwela

Al ahly SC #Together Forever
 
Hamna chama cha Soka kinacho kubali ujinga huo kwani ukifanya hivyo unaumiza marefa wa nchini kwako na hayo makubaliano hayapo bali wasiwasi wao ila hakipo chama hiko cha soka hata TFF wenyewe hawawezi kukubali.

Nchi za America kusini Derby zao zinafujo sana naweza kusema kuliko Derby za mabara mengine ila bado marefa wanatumia wa kwao.
Siyo mara ya kwanza kwa Ligi ya Misri kutumia marefa wa kutoka ligi za nje ya nchi.
 
Klabu ya Al Ahly ya Nchini Misri imegoma kushiriki mechi yao ya dabi dhidi ya Zamalek inayotarajiwa kuchezwa leo ikisisitiza kuwa Shirikisho la Soka la Misri (EFA) linapaswa kuteua Mwamuzi wa kigeni badala ya kutumia Waamuzi wa ndani pia Klabu hiyo imetishia kujiondoa kwenye Ligi Kuu ya Misri endapo ombi lao halitatekelezwa.

Dabi hiyo ilikuwa sehemu ya hatua ya mbio za ubingwa lakini EFA ilitangaza usiku wa kuamkia leo kuwa mchezo huo utasimamiwa na Waamuzi wa ndani kinyume na makubaliano ya awali na kufuatia mkutano wa dharura uongozi wa Ahly ulitoa tamko rasmi ukitaka mchezo huo uahirishwe hadi Mwamuzi wa kigeni apatikane.

Ahly ilisisitiza kuwa iliwasilisha maombi yake mapema ikitaka Waamuzi wa kigeni kwa mechi muhimu ili kuhakikisha haki inatendeka hasa baada ya makosa ya mara kwa mara ya Waamuzi wa ndani kutotenda haki, hata hivyo Shirikisho ilijibu ikidai muda haukutosha kuwapata Waamuzi wa nje na kuitaka Ahly kuunga mkono Waamuzi wa ndani.

Mpaka sasa EFA haijatoa tamko jipya huku hali ya sintofahamu ikiendelea, yanajiri hayo huku Katika msimamo wa ligi ya Misri Pyramids FC inaongoza kwa alama 42 Ahly ikiwa ya pili na 39 huku Zamalek ikishika nafasi ya tatu kwa alama 32.
Duh....
 
Back
Top Bottom