Kwenye mkutano wenu Mkuu msisahau kuweka katika listi ya mafanikio ya klabu, kama ilivyokua mwaka jana kibegi na "Whatsupp" channel.Hii ni kumaanisha kuwa Simba ni Baba lansoka barani Africa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mkutano wenu Mkuu msisahau kuweka katika listi ya mafanikio ya klabu, kama ilivyokua mwaka jana kibegi na "Whatsupp" channel.Hii ni kumaanisha kuwa Simba ni Baba lansoka barani Africa.
Hatutasahau mkuuKwenye mkutano wenu Mkuu msisahau kuweka katika listi ya mafanikio ya klabu, kama ilivyokua mwaka jana kibegi na "Whatsupp" channel.
Hiyo Argentina derby shida siyo marefa, ni uhasama wao tu kwahiyo marefa hawawezi kubadilishwaHamna kama hiko shirikisho la mpira wa miguu halipo kwa ajili clubs pekee yake lipo hata kwa ajili ya marefa. Argentina Derby River Plate na Boca Juniors zao vurugu tu kabla ya mechi,ndani ya uwanja na baada ya mechi, ila sijawahi kusikia wakibadilisha marefa.
Chama cha soka kinatakiwa Boss wa hizi clubs zote na ndio maana EPL itabaki kuwa ligi bora miaka yote. Juzi mashabiki wa Arsenal walikuwa wanalamika refa aliyecheza match yao na United, ila siku ya mechi kacheza refa huyo huyo hakubadilishwa na hata wakiamua kwenye North London Derby na Spurs wanampanga.Sasa susia mechi halafu uone rungu utakalo kutana nalo.
Nani ka kwambia huijui Derby ya River Plate na Boca.Sasa viongozi wakilalamikia then ndio chama kibadilishe refa. Huu ujinga hata Spain ligi ya timu mbili ,Barca na Madrid hawachagui marefa,Bundasliga ligi ya timu moja ila Munich hachagui refa. Huu upuuzi upo huku kwetu,sababu clubs zinavimudu vyama vya soka.Hiyo Argentina derby shida siyo marefa, ni uhasama wao tu kwahiyo marefa hawawezi kubadilishwa
Huko kwa Arsenal na Man U mashabiki ndiyo walikuwa wanalalamika ana sio viongozi wa timu ndiyo maana refa hakubadilishwa
Tayari huko Zamalek kapewa points tatu.Hiyo Argentina derby shida siyo marefa, ni uhasama wao tu kwahiyo marefa hawawezi kubadilishwa
Huko kwa Arsenal na Man U mashabiki ndiyo walikuwa wanalalamika ana sio viongozi wa timu ndiyo maana refa hakubadilishwa
Shida ni Babaunsa waliwazidi nguvu Polisi na SimbaNani ka kwambia huijui Derby ya River Plate na Boca.Sasa viongozi wakilalamikia then ndio chama kibadilishe refa. Huu ujinga hata Spain ligi ya timu mbili ,Barca na Madrid hawachagui marefa,Bundasliga ligi ya timu moja ila Munich hachagui refa. Huu upuuzi upo huku kwetu,sababu clubs zinavimudu vyama vya soka.
Mnawamudu TFF ,Zamalek kishapewa point tatu. Mabaunsa ndio waliokuwa na funguo? Mnaenda kwenye uwanja wa watu bila kutoa taarifa mnazani uwanja ule ni wa TFF.Shida ni Babaunsa waliwazidi nguvu Polisi na Simba
Sawa chukueni point kama mnazitakaMnawamudu TFF ,Zamalek kishapewa point tatu. Mabaunsa ndio waliokuwa na funguo? Mnaenda kwenye uwanja wa watu bila kutoa taarifa mnazani uwanja ule ni wa TFF.
Simba mfano wa kuigwa
Simba ni club kubwa na bora Afrika,pia namba moja Tanzania,afrika mashariki na kati ni ya 5 kwasasa Afrika...chezea Simba wewe..akifanya jambo lazima liigwe mpaka misri