Klabu ya Al Ahly ya Nchini Misri imegoma kushiriki mechi yao ya dabi dhidi ya Zamalek

Klabu ya Al Ahly ya Nchini Misri imegoma kushiriki mechi yao ya dabi dhidi ya Zamalek

Dabi ya Kariakoo inatakiwa pia iwe inapigwa nchi za nje na waamuzi wa nje ya Tanzania. Tutaona mpira wa kweli
 
Siyo mara ya kwanza kwa Ligi ya Misri kutumia marefa wa kutoka ligi za nje ya nchi.
Hamna kama hiko shirikisho la mpira wa miguu halipo kwa ajili clubs pekee yake lipo hata kwa ajili ya marefa. Argentina Derby River Plate na Boca Juniors zao vurugu tu kabla ya mechi,ndani ya uwanja na baada ya mechi, ila sijawahi kusikia wakibadilisha marefa.

Chama cha soka kinatakiwa Boss wa hizi clubs zote na ndio maana EPL itabaki kuwa ligi bora miaka yote. Juzi mashabiki wa Arsenal walikuwa wanalamika refa aliyecheza match yao na United, ila siku ya mechi kacheza refa huyo huyo hakubadilishwa na hata wakiamua kwenye North London Derby na Spurs wanampanga.Sasa susia mechi halafu uone rungu utakalo kutana nalo.
 
Walikuwa wamekubaliana tangu mwanzo wa ligi kuwa marefa watakaochezesha michezo ya Al Ahly, Pyramids, Zamalek na Al Masry watoke kwenye ligi za nje ya nchi. Chama chao cha soka kinataka kupindisha makubaliano.
Hata sisi tulikubaliana tangu mwanzo kwamba mechi mgeni anayo nafasi ya kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi kwa wakati uleule ambao mechi itachezwa
 
Uko misri huo Kwa ujinga wa kugomea mechi ndo wanaongoza uku kwetu tunaiga tu,mwaka Jana zamalek waligoma hawachezi mpaka Al ahly wamalize vipolo vyao,mwaka huu zamu ya Al ahly kugomea mechi.
 
Hata sisi tulikubaliana tangu mwanzo kwamba mechi mgeni anayo nafasi ya kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi kwa wakati uleule ambao mechi itachezwa
Hayo makubaliano ya derby kati ya Simba na Yanga kuhusu timu mgeni kuwa na nafasi ya kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi yalifanyika lini?
 
Scenario ni tofauti kule sio kama Makomandoo wa Zamalek wamewazuia Al Ahly kufanya mazoezi.

Hapana.

Club zote kubwa zinataka kuona sheria inafuatwa.

Madai ya Al Ahly ni dhidi ya bodi ya ligi ya Misri kukiuka makubaliano ya sheria kuhusu mwamuzi wa kuchezesha mechi ili kuwe na fairness kwenye mchezo.

Al Ahly hawataki hii mechi achezeshe Kayoko wanataka aletwe mwamuzi kutoka nje ambaye hatokuwa na upande wowote kwenye hizi timu.
Kwani unadhani ni mara yao ya kwanza? Waamuzi wanawatoaga Spain huko ulaya kwa kisingizio kina Tatu Malogo wanapewa mlungula
Hilo ni.lalamiko lao la muda wote
 
Scenario ni tofauti kule sio kama Makomandoo wa Zamalek wamewazuia Al Ahly kufanya mazoezi.

Hapana.

Club zote kubwa zinataka kuona sheria inafuatwa.

Madai ya Al Ahly ni dhidi ya bodi ya ligi ya Misri kukiuka makubaliano ya sheria kuhusu mwamuzi wa kuchezesha mechi ili kuwe na fairness kwenye mchezo.

Al Ahly hawataki hii mechi achezeshe Kayoko wanataka aletwe mwamuzi kutoka nje ambaye hatokuwa na upande wowote kwenye hizi timu.
Zote ni allegations no matter they are differ from scenarios
 
Hawa al ahly nao wanazingua, bora wenzao walifungiwa mageti, wasiingie uwanjani.
 
Na haya mambo hata huku kwetu ipo siku yatafika maana kuna waamuzi ni machawa pro wa simba na yanga
 
Back
Top Bottom