NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Kama siyo Majeraha ni bonge la Chezaji huyu bwana mdogoHuyu jangwani anatufaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama siyo Majeraha ni bonge la Chezaji huyu bwana mdogoHuyu jangwani anatufaa
NAUNGA MKONO SKUDU ANAMALIZA UGALI WA BURE TU PALE JANGWANI.
Za ndani kabisa mabosi wa Ihefu wanamtolea machoYanga au Simba, pengine Ihefu
Huyu dogo ni bonge la chezaji na umri unamruhusu.Kwa mujibu wa jamedari dube ni mnyama
HATA IHEFU NAO PIA WANAMTAKA.Inasemwa wababe wote wa Kariakoo wanamtaka, bado haijajulikana nani yuko serious zaidi ya mwenziwe
Dube ni mchezaji mzuri mkuu kuliko wewe UNAVYODHANI.Za ndaaniii kabsa Azam FC wanataka 765M ili wamwachie Dube. Lakini najua watamwachia kwa pesa chini ya hiyo maana Azam hawana tabia ya kung'ang'ania wachezaji na hawapendi makelele na migogoro, zaidi ya yote hawana njaa. Sioni timu gani ya Kariakoo itaweza/itakubali kutoa hiyo pesa kwa Dube ambae mimi namuona sio mchezaji wa kutegemea sana kutokana na rekodi yake mbaya ya injuries za mara kwa mara. Lakini pia sio mchezaji wa daraja la juu na wa kutisha sana. Kama Azam itamwachia Dube halafu imsajili Mayele basi watakua wamenufaika zaidi kuliko watakaomchukua Dube
Simba sc nao WANAMTAKAsawa majini fc tuendelee na hoja sasa. mujichanganye kununua hilo gari la mkaa mtapata hasara ya kihasibu.
Hayo ni maoni yako je wakimchukua kutokana na ubora wake utakuja kutuambia Nini?!hakuna timu kubwa atakayocheza hapa bongo kwa historia ya majeraha yake
Kwani ulimuona kwenye mechi moja tu.Dube angekuwa tishio, mechi ya Simba vs Azam ile alikuwa anaondoka na hat trick. Sishauli Yanga kumsajili huyu mchezaji
KWELI KABISA NI BONGE LA CHEZAJI.Tatizo lake ni majeruhi.
Haji ng'oooAje Yanga huyu. Nitafurahi kinoma.
🦁Kuna timu gani inahitaji huduma yake?
Hayo pia ni maoni yako ila hakuna timu anayoweza kwenda pale K'kooHayo ni maoni yako je wakimchukua kutokana na ubora wake utakuja kutuambia Nini?!
Sasa kiungo na mshambuliaji wap na wapKuna figisu pale kuna mtu mzito kasema fei lzma achukue nafc na sio yy ndio maana a ataka kuodoka