Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea barua kutoka kwa mshambuliaji Prince Dube akiomba kuvunja mkataba

Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea barua kutoka kwa mshambuliaji Prince Dube akiomba kuvunja mkataba

Za ndaaniii kabsa Azam FC wanataka 765M ili wamwachie Dube. Lakini najua watamwachia kwa pesa chini ya hiyo maana Azam hawana tabia ya kung'ang'ania wachezaji na hawapendi makelele na migogoro, zaidi ya yote hawana njaa. Sioni timu gani ya Kariakoo itaweza/itakubali kutoa hiyo pesa kwa Dube ambae mimi namuona sio mchezaji wa kutegemea sana kutokana na rekodi yake mbaya ya injuries za mara kwa mara. Lakini pia sio mchezaji wa daraja la juu na wa kutisha sana. Kama Azam itamwachia Dube halafu imsajili Mayele basi watakua wamenufaika zaidi kuliko watakaomchukua Dube
Dube ni mchezaji mzuri mkuu kuliko wewe UNAVYODHANI.
 
INAELEZWA TATIZO NI KOCHA WAKE

Klabu ya @azamfcofficial imethibitisha mshambuliaji wao Prince Dube ameomba kuondoka Viunga vya Chamazi Complex .

Uongozi wa Azam FC umemtaka mshambuliaji huyo kufuata masharti ya mkataba wake kwa kulipa kiasi cha Dolla Laki Tatu ( Sh. Mil 855) za Kitanzania.

Dube Hana maelewano mazuri na kocha wake mkuu Yousouph DABO Kwa muda mrefu sasa .
 
DOLA 300,000/=
Screenshot_20240304-211632.jpg
 
Back
Top Bottom