Yanga ndio walikuwa wapuuzi, fei alitimiza matakwa ya mkataba lakini yanga wanataka mazungumzo, sasa unajiuliza mazungumzo yanini wakati tayari mkataba unazungumza? Ndiomaana azam wamemwambia dube afate matakwa ya mkatabaNa wao waone ugumu wa haya mambo! Kipindi kile kwa Fei walijiona miamba sana[