Klabu ya Simba ikipita kwenye hili kundi nipigwe ban

Klabu ya Simba ikipita kwenye hili kundi nipigwe ban

Huwa kila siku nasema hii timu ya simba imejaa mabumbumbu ndio maana mimi niliamua kuihama mwaka huu baada ya kuangukia mashindano ya kina mama wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Porojo tu zimekukaa. Toa sababu za kiufundi na sio mihemko
 
Sasa kosa langu lipi mpaka unanitukana? Sababu ya mpira?

Si sawa! Tuheshimiane hata kama tuko nyuma ya keyboard.
Kuna watu mnakuwa na jazba zisizo na Faida.

Sisi humu tushakuwa familia moja, Haina haja ya haya yote.
Kosa lako hulijui eto rudia comment Yako utalijua kosa lako la kukutukana
 
Huwa kila siku nasema hii timu ya simba imejaa mabumbumbu ndio maana mimi niliamua kuihama mwaka huu baada ya kuangukia mashindano ya kina mama wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Huna lolote attention seeker
 
Siku zote ndege wanaofanana huruka pamoja,kama ulijishtukia na kuhama kushabikia Simba basi wewe haukuwa shabiki wa simba
 
Ban ya nini mkuu? We tuahidi mkouuuuunduh tu mabasha tukufirrrrrimbehh.
 
Huwa kila siku nasema hii timu ya simba wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Weka ahadi kutoa mali inayopendwa na P.diddy halafu uoone tutakavyokupelekea moto
 
Back
Top Bottom