Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods hii ahadi haijatekelezwa, huyu jamaa Gunner Shooter hajaenda nyuma ya nondo bado maana ahadi yake aliiweka kabla mechi za makundi hazijaanza mwanzoni kabisa baada ya groups kupangwa... nasema kama Simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Nikishapigwa ban unapata Bei ganiMods hii ahadi haijatekelezwa, huyu jamaa Gunner Shooter hajaenda nyuma ya nondo bado maana ahadi yake aliiweka kabla mechi za makundi hazijaanza mwanzoni kabisa baada ya groups kupangwa
Nawaita mods ili haki itendeke: Active, BlackBold, Boqin, Bridger, Payge, celix, Cookie, Diversity, Fang, Fixer, Innovator, Maxence Melo, Mhariri, Moderator, NightCrawler na Paw
UBAYA UBWELA
safi sana mkuuuMods hii ahadi haijatekelezwa, huyu jamaa Gunner Shooter hajaenda nyuma ya nondo bado maana ahadi yake aliiweka kabla mechi za makundi hazijaanza mwanzoni kabisa baada ya groups kupangwa
Nawaita mods ili haki itendeke: Active, BlackBold, Boqin, Bridger, Payge, celix, Cookie, Diversity, Fang, Fixer, Innovator, Maxence Melo, Mhariri, Moderator, NightCrawler na Paw
UBAYA UBWELA
ubaya ubwelaaa 🤣Nikishapigwa ban unapata Bei gani
Tafuta kazi ya kufanyaubaya ubwelaaa 🤣
Ulipotoa ahadi ulipata bei gani?Nikishapigwa ban unapata Bei gani
Tafuta kazi ya kufanyaUlipotoa ahadi ulipata bei gani?
Muache kuropoka, wakati mwingine kukaa kimya kunaweza kutafsiriwa kuwa ni busara
UBAYA UBWELA
Tafuta kazi ya kufanya mzee utazeeka na umasikini
Hapa penyewe nipo kaziniTafuta kazi ya kufanya mzee utazeeka na umasikini
Tafuta kazi ya kufanya jamii forum haileti pesaHapa penyewe nipo kazini
Una lolote la kuiambia mahakama ili adhabu ipunguzwe? (sio ifutwe, nasema ipunguzwe)Tafuta kazi ya kufanya jamii forum haileti pesa