Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #61
Tafuta kazi ya kufanyaUna lolote la kuiambia mahakama ili adhabu ipunguzwe? (sio ifutwe, nasema ipunguzwe)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta kazi ya kufanyaUna lolote la kuiambia mahakama ili adhabu ipunguzwe? (sio ifutwe, nasema ipunguzwe)
Ukishabikia simba na yanga unakua huna utofauti na zombi mungu kanisaidia tangia tarehe 1 mwaka huu nimeacha KUSHABIKIA hizi timu za manyani
Huo utetezi hautoshi kupunguza adhabu, ongeza mwingineNimejitambua siwezi shabikia timu za manyani ambazo ni simba na yanga
Asante mungu Kwa kuniepusha mwaka huu kushabikia timu za manyani simba na yanga nitaipenda arsenal tu milele
Tunashukuru kwa taarifaUkishabikia simba na yanga unakua huna utofauti na zombi mungu kanisaidia tangia tarehe 1 mwaka huu nimeacha KUSHABIKIA hizi timu za manyani
mkuu njooTutawakumbusha mods muda ukifika.
Nikishapigwa ban unapata Bei gani
#ModeratorKwani wakati unatoa ahadi ulikuwa unapigwa miti haukuwa kwenye akili yako ya kawaida?? Ulikuwa umenogewa na ub.oo unavyokusugua kunako hadi ukajikuta unaropoka???
Wiki iliyopita nilikusagia kunguni kuwatag mods na kukuripoti ahadi yako ukala ban.
Haikua ban niliweka I'd ya ban kuwavurga hatersWiki iliyopita nilikusagia kunguni kuwatag mods na kukuripoti ahadi yako ukala ban.
Mods piga ban huyu mtu, aliomba mwenyewe. Ajifunze kutumia akili kuanzisha thread.Tafuta kazi ya kufanya be Sasa hivi sishabikii timu za manyani chama langu arsenal tu nimejitambua kwamba ukishabikia simba na yanga unakua zombi ndio kamaa nyie hapa