Porojo tu zimekukaa. Toa sababu za kiufundi na sio mihemkoHuwa kila siku nasema hii timu ya simba imejaa mabumbumbu ndio maana mimi niliamua kuihama mwaka huu baada ya kuangukia mashindano ya kina mama wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Kosa lako hulijui eto rudia comment Yako utalijua kosa lako la kukutukanaSasa kosa langu lipi mpaka unanitukana? Sababu ya mpira?
Si sawa! Tuheshimiane hata kama tuko nyuma ya keyboard.
Kuna watu mnakuwa na jazba zisizo na Faida.
Sisi humu tushakuwa familia moja, Haina haja ya haya yote.
Sababu ni mbumbumbu fcPorojo tu zimekukaa. Toa sababu za kiufundi na sio mihemko
Huna lolote attention seekerHuwa kila siku nasema hii timu ya simba imejaa mabumbumbu ndio maana mimi niliamua kuihama mwaka huu baada ya kuangukia mashindano ya kina mama wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Tangulia ndugu, sisi sote safari yetu ni moja, ingawa njia ni tofauti, ya kwako ni pana. Ukamsalimie DidaUnajielezea sana mbumbumbu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umelewa ushabikiHuwa kila siku nasema hii timu ya simba imejaa mabumbumbu ndio maana mimi niliamua kuihama mwaka huu baada ya kuangukia mashindano ya kina mama wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Mfuate basha wako akakusugueMbumbumbu
... Na Yanga Imara.Ili nchi iendelee inahitaji.
Ardhi
Watu.
Siasa safi.
Uongozi Bora.
Hakika tena life banHuwa kila siku nasema hii timu ya simba wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Ya muda gani tutunze risiti?Huwa kila siku nasema hii timu ya simba wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.
Weka ahadi kutoa mali inayopendwa na P.diddy halafu uoone tutakavyokupelekea motoHuwa kila siku nasema hii timu ya simba wanayasifia na wanasahau walikua wanasema ni kombe la looser nasema kama simba ikapita kwenye hili kundi nipigwe ban.