Ni kweli mkuu ligi imeongezeka uboraKwa hakika mpira wa Tanzania umekua sana. Kama kocha wa kariba hii anakubali kuja ni hatua kubwa.
Hapa achilia mbali ukubwa wa Simba. Ngoja tuone nae atatuletea nini. Walau anaufahamu mpira wa africa kwa kiasi kikubwa hasa huko kaskazini.
Viwango vya Simba ni next level.
Kama wameweza kumleta yeye nadhani hawatashindwanaWatamletea wachezaji anaowataka?na kupanga kikosi anachotaka? Wakiweza basi tutatisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo unakatika na hiyo 5-1. Imekuganda, unaiibua hata pasipohusika.Mbona mnawaka sana mkisikia 5-1 jamani? Yani yote niliyosema wote mmekomalia 5-1!
Ndiooo ujueeee watanii vichwaa vimejaa uleziHuyu kocha Yanga ilimkanda kwao mbele ya mashabiki wake
Simba ilishaipa kisogo identity yake ya soka la pass nyingi.Kocha ni lile lile la asec mimosas.. Jamaa anajua.
Huyu msimu uliopita game 2 za yanga na ile wanamfunga al ahly kwenye super cup soka lake si asili ya simba..
Sijui labda aje abadilike.
Wanawatuliza mbu3 wao kesho waende uwanjaniNdiooo ujieeee watanii vichwaa vinejaa ulezi
Nifah Kama wewe ni yanga, kwa heshima ya Wana Simba toa lemba Hilo kichwaniBado 5-1 zinaishi vichwani mwenu, Kisa alitufunga finals?
Tena kwa kanuni pekee?
Huyu ndio mzuri, tukiwafunga tunaua ndege wawili kwa jiwe moja, karibu Tanzania Benchika,
Nyumbani kwa mabingwa wa kihistoria Young Africans.
Kama nyie mlivyomsajili okwi baada ya kuwatupia bao mbili kati ya zile tano mwezi wa 5 tarehe 6 2012?Bado 5-1 zinaishi vichwani mwenu, Kisa alitufunga finals?
Tena kwa kanuni pekee?
Huyu ndio mzuri, tukiwafunga tunaua ndege wawili kwa jiwe moja, karibu Tanzania Benchika,
Nyumbani kwa mabingwa wa kihistoria Young Africans.
Shemeji yako ni Mwana Simba, kasema liendelee kubaki.Nifah Kama wewe ni yanga, kwa heshima ya Wana Simba toa lemba Hilo kichwani
Mpe hi The BShemeji yako ni Mwana Simba, kasema liendelee kubaki.
Halidhuru.
Kuleta hoja inayoshahabiana ni kukubaliana na hoja.Kama nyie mlivyomsajili okwi baada ya kuwatupia bao mbili kati ya zile tano mwezi wa 5 tarehe 6 2012?