Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]Welcome our own Bongozozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]Welcome our own Bongozozo
Jamaa atafukuzwa take it from meNikumbushe mechi ijayo ya simba na Yanga ni lini kuna jambo litatokea baada ya mchezo.
Acheni masikhara nyie, Mgunda Champions League!? Niambie unatania please.Timu ilitakiwa apewe Juma Mgunda ili boli litembee.
Hao wenu wanaoweza kufanya mashambulizi ya kushtukiza wamekula 3 huko kwenye ligi ya wakubwa. Mnalitia nuksi Taifa.Mbinu za huyu kocha na Robati ni chanda na Pete, hao wachezaji wenu wasioweza kufanya mashambulizi ya kushtukiza mtamfukuza kabla ya Pasaka.
Maumivu yakizidi muone daktari.Sikuomba CV yake lakini, ungeweka bila kuquote kwangu wala nisingehangaika kukujibu.
yule hatumuwezi maana viongoz mpk washabiki neno subra hatuna yule anahitaj msimu miwil mpk mitatu je unauvumilivu huo?...
Uzi tayariUjio wa benchikha ndani ya bench LA ufundi kama kocha mkuu ni hasara kama alivyosajiliwa onana tu
Wait and see