Klabu ya simba inachofanya ni utapeli serikali iingilie kati wajinga wanaibiwa

Klabu ya simba inachofanya ni utapeli serikali iingilie kati wajinga wanaibiwa

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
 
Mods hebu futeni hizi takataka za huyu mtu, ikiwezekana na yeye apigwe ban kabisa, kwani wewe unapohonga wanawake zako serikali huwa inaingilia kati
 
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa bila Kokomo unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
ni hiari, mashabiki hawalazimishwi, ila ni upuuzi kuchangia, hiyo ni sawa na kikombe cha maji kumwagia baharini ili ijae. Simba ni taasisi kubwa na ina hela za kutosha kulipa faini hiyo bila shida. Ilipe kocha na wachezaji mamilioni ya pesa, itashindwaje kulipa faini hiyo mpaka ichangiwe? Ni upuuzi mtupu
 
ni hiari, mashabiki hawalazimishwi, ila ni upuuzi kuchangia, hiyo ni sawa na kikombe cha maji kumwagia baharini ili ijae. Simba ni taasisi kubwa na ina hela za kutosha kulipa faini hiyo bila shida. Ilipe kocha na wachezaji mamilioni ya pesa, itashindwaje kulipa faini hiyo mpaka ichangiwe? Ni upuuzi mtupu
Kwamba wanamwaga maki baharini
 
MASAHABIKI NA VIONGOZI , SELIKALI.

UPUMBAVU.
UJINGA.
USHAMBA
UMBUMBUMBU.
UMEWAJAA.

WAPUMBAVU NDIO WALIWAO.
 
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa bila Kokomo unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
Wakati utopolo mlipokuwa mnatembeza bakuli mlikuwa mnatapeli watu?
 
ni hiari, mashabiki hawalazimishwi, ila ni upuuzi kuchangia, hiyo ni sawa na kikombe cha maji kumwagia baharini ili ijae. Simba ni taasisi kubwa na ina hela za kutosha kulipa faini hiyo bila shida. Ilipe kocha na wachezaji mamilioni ya pesa, itashindwaje kulipa faini hiyo mpaka ichangiwe? Ni upuuzi mtupu
Humuhumu ndani mashabiki kwa hiali yao waliomba iwekwe account ya kuchangia cha kusikitisha wewe shabiki wa yanga unakuja kuingilia vitu visivyokuhusu
 
Humuhumu ndani mashabiki kwa hiali yao waliomba iwekwe account ya kuchangia cha kusikitisha wewe shabiki wa yanga unakuja kuingilia vitu visivyokuhusu
Sijawahi kushabikia hiyo timu uliyoitaja utakua umechanganyikiwa Kwa kua umeshapigwa na wajanja kutoka msimbazi kariakoo nenda katume nyingine maana wajinga ndio waliwao unamwaga maji baharini🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ukijiona unashabikia simba, Yanga, chadema na ccm jitambue kama mpumbavu.
 
Hao mashabiki ndio maandazi, msiwalaumu viongozi hapo wanatake advantage! Mbumbumbu ni nyie raia mnaotuma miamala,,,,wacha mkamuliwe hadi matak***! From no where unatumaje pesa yako? Eti ushabiki maandazi ! Hao viongozi nawapa heko, Big brain ! Wajinga ndo waliwao
 
Au unakuta kwenye matukio/majanga mfano ajali ile ya ndege mwanza, tukio la kariakoo inatokea kimalaya kama diva sijui niffa kinaweka namba watu wanatuma michango ,,, ! Dah ! Inasikitisha sana,,,, kuna kauli mzee jomo kenyatta (r.i.p) alicompare East Africa kwa kujitambua na kujua haki zetu kwa ujumla akasema Tanzania ni maiti kwenye hio nyanja
 
Back
Top Bottom