Dah! We jamaa sijui umewaza nn kwakwel?
Siyo tabia ni kaupepo tu... Kwenye kundi la simba asilimia kubwa walipoteza mechi nyingi ugenini.Na Tabia za Simba kufungwa mengi ugenini,hapa ndo mwisho wa Simba. MBAYA zaidi wanaanzia Dar. Bye bye Simba.
Poke mwanaJangwaniWalipigwa Kinshasa. Kule Lubumbashi As Vita lazima apigwe.
haha braza kwani unateseka;Dunia ya ajabu sana yaan mbumbumbu unajiita Sanchez
Kwanza hakuna kati yenu aliyeamini kuwa Simba angesonga mbele kwa kumtoa Vita, jiandaeni kisaikologia kuiona Simba ikicheza fainali. Wenye wivu watapata taabu sana mwaka huu!!!!! Hamjajifunza tu? Unaomba nyumba ya mwenzako ichomwe moto inatangulia ya kwako kuchomwa moto!!! Kandambili bwana!!!!!!!Ule ulikuwa ni upepo tu sasa hivi ndo kimbunga kamili
Kama sio 8 basi 10
Simba atapakatwa mpaka atafurahi mwenyewe!Mechi ya Kwanza
Simba 2 mazembe 1
Mechi ya 2 kule Congo
Mazembe 4 Simba 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba anaenda kupigwa katerero na Tp Mazembe!Huu ndo mwisho wa kubahatisha bahatisha mechi
Bana ba Congo lazima walipize kisasi kwa niaba ya AS Vita
Yanga Bwana, nyie kila mkiingia hatua ya makundi ni kushika mkia tuu, wivu utawaua mwaka huu
Amna chakafara malengo yetu ilikua hatua ya makund kwa lugha nyingine tumevuka malengo kwa asilimia 100%.ko no stress
Hakuna timu rahisi hatua hiyo.Tp mazembe hawajapata timu rahisi kama ambavyo simba hajapata timu rahisi.
Simba hawezi kufungwa magoli mengi nje kama ilivyokuwa awali kwani kuna jambo kajifunza mechi za nje.
Ni wazi anayemalizia nyumbani huwa ana faida ya kusonga mbele kuliko anayemalizia ugenini ikiwa matokeo yake ya awali aliyaandaa vizuri.
Bado simba anao uwezo wa kuwaondoa tp mazembe ktk mashindano haya endapo ataimarisha viungo na ulinzi.Tp mazembe ni timu bora lakini uwanja wa nyumbani lazima afungwe ingawaje naye atapata goli.Simba ataweza kuwaondoa tp mazembe ikiwa atashinda uwiano mzuri wa magoli nyumbani na kuwa imara ugenini asifungwe sana.
Nasema inawezekana na halitakuwa jambo geni kwa simba kwa kuwa alishawahi kuiduwaza dunia alipomuondoa bingwa mtetezi Zamalek mwarabu wa misri akimvua ubingwa kwenye ardhi yake.Alimfunga 1 bila tz naye akafungwa 1 bila misri na baada ya dakika za nyongeza matokeo yakabaki hayo hayo wakatinga kwenye matuta na Juma kaseja akafanya yake na simba ikasonga mbele.
Wanasimba wote tuipe nguvu timu yetu tp mazembe anaondolewa vizuri tu na ktk mashindano haya mjue kafungwa hivyo anafungika bila shida.
Together we can make a difference. Yes, we can.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutafungwa 10 ila tutapata $650,000; wewe uliyefungwa 1 na Lipuli unapata nini? Hiyo ndiyo tofauti.Ule ulikuwa ni upepo tu sasa hivi ndo kimbunga kamili
Kama sio 8 basi 10