Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa

Narekebisha,Mikia imefungwa Goals 13 kwenye makundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gongowazi nawakumbusha jumapili timu ya taifa ndo inacheza msije mkaanza kuwashangilia uganda[emoji23][emoji23][emoji23] . Kuhusu Tp maEmbe hao waume zenu wala msijali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tp mazembe ni underdog kwa as vita kwenye ligi huwa Mara nyingi anampiga nje ndani kama vita alikaa kwa mkapa mazembe ndo nani mtani, tujipongeze simba kwa kufuzu nusu fainali send off ilifanyika kwa as vita harusi kamili itafanyika kwa mazembe
Sasa nashangaa Mtani Congo mlifungwa 5 hapa mkafunga 2 - 1 chukulia ingekuwa Mtoano mngemuweza As Vita?

Ingekuwa aggregate ya 6 - 2 sasa kwa nini muone mumemuweza As Vita wakati ni Point tu zimewabeba.
 
Sasa nashangaa Mtani Congo mlifungwa 5 hapa mkafunga 2 - 1 chukulia ingekuwa Mtoano mngemuweza As Vita?

Ingekuwa aggregate ya 6 - 2 sasa kwa nini muone mumemuweza As Vita wakati ni Point tu zimewabeba.
Mechi za kuamua nani asonge mtani ni ngumu sana na si rahisi kwa timu zote mbili maana huwa zinachezwa kama fainali, naamini hatutakuwa wepesi away kama tulivyokuwa makundi, hahaha hivi mtani draw za makundi zilivyipangwa ulitegemea kama tungetoboa kweli.
 
Ni heri hawa wazembe kuliko wale Waarabu wa fitina... Nusu fainali tumo hakika nawaambieni atakaebisha mchawi

Happiness is a lifestyle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…