Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa

Sikutegemea kabisa. Yabidi maajabu yatokee ndio msonge mbele sababu kufunga goli nyingi kwa Mkapa kwenu ni ndoto na kuzuia kufungwa nyingi ugenini ndio ndoto zaidi.

Ila huenda.
 
Mechi itakuwa ngumu sana kiukweli... Ni timu tu kujipanga vizuri katika mechi ya hapa nyumbani ili tupate ushindi wa goli angalau 3-0 naamini inawezekana. Maana mechi ya ugenini itakuwa ngumu sana hasa ukiangalia rekodi yetu ugenini sio nzuri.

Pamoja na hayo mpaka hapa timu imepambana sana kiukweli, Inahitaji pongezi mpaka kufika hatua hii. Hatua hii ya robo kuna mtihani mkubwa sana kwetu tena sio kidogo...

INSHAALLAH MUNGU ATUFANYIE WEPESI...

SIMBA NGUVU MOJA!
 
Hahaaa. Punguza Munkari basi. [emoji12]

Hivi mnaanzia mechi wapi? Ugenini au hapo mnapopaita kaburini.
Umeshajua tukianzia ugenini tukirudi nyumbani ushindi wetu... Hiyo formula tunambadilshia TP Mazembe atalia kama mtoto mdogo mark my word

Happiness is a lifestyle
 
Sikutegemea kabisa. Yabidi maajabu yatokee ndio msonge mbele sababu kufunga goli nyingi kwa Mkapa kwenu ni ndoto na kuzuia kufungwa nyingi ugenini ndio ndoto zaidi.

Ila huenda.
hahaha hivi kwanini mnatupiga vita hivi wakati tu nataka kuwapatia viti maalum ili mwakani tuwe pamoja sote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…