barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wakitaka simba ifugwe jawa tff wapeleke mechi kiwanja cha ugenini.Mpaka sasa Mazembe kaishapigwa 4 bila CCM Kirumba na Lubumbashi droo, Nusu hiyoooooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tìmu yenu inasifika sana kwa kutoa kafara za damu tena haioni shida kutoa wanachama/mashabik wake 10 kwa mpigö. Sasa kama uyo mbuzi wa kafāra mnataka na sisi wa upande wa pili sijui ndo mlivyõambïwa na somoMkuu nimenunua ka mbuzi...ntakutafuta
Ntawaita vyura woote muone ninavyomchinja kama tutakavyo mchinja mazembe,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mmefukuka..tangu lipuli wawape kitombo kule iringa huku sisi tukiwapa kifiro mabasha wenu as vita mulipotea kabisa...sahivi mmefufuka baada ya kusikia kuna basha lenu jipya tunakuja kulipa kifiroHuyu ndie anakuja kukuoa kabisa,wale wengine walikuwa wanakuchezea na kukuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli malengo yalikua kufika hatua ya makundi tuTumefikia zaidi ya malengo tuliyojiwekea.
Tutaenda pambana nao hivyo hivyo.
Tuambie unaonaje game hii, simba anawezo uwezo wa kushinda nyingi home na kuzuia ugenini?
Kwani mwalim kashasha Ana semaje!Tuambie unaonaje game hii, simba anawezo uwezo wa kushinda nyingi home na kuzuia ugenini?
Mnatufundisha kazi..kwani wakati tunalitoa basha lenu nkana na mbabane tuliyatoa kwa points...
Na vita mlisema hivi hivi, na al ahly mlisema hivi hivi na spura mkasema hivi hivi.Simba hatoboi hana timu ya kuifunga mazembe chezea hengine waarabu wanamjua ndani nje anawapiga tu ni timu iliyofynga magoli mengi zaidi kuliko timu yeyote 16 bora thubutu wanakuja kulipiza kisasi cha ndugu yao AS VITA
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri Vita akienda Lubumbashi. Hatoki.Wanatokaje wakati mbabe wao alishindwa kutoka taifa?
View attachment 1050129
Ule ulikuwa ni upepo tu sasa hivi ndo kimbunga kamili
Kama sio 8 basi 10
Hii kamati iundwe na mashabiki wa Yanga tupu,hili jukumu LA roho mbaya iko damuni mwaoKamati ya roho mbaya ianze kazi mala moja ya kuiombea njaa gormahia kwa maslahi mapana ya taifa
Tunataka timu nne msimu ujao.
Ndio hawa hawa mazembe waliopigwa na As Vita 3 bila wiki 2 zilizopita.Write your reply...
hawa si ndo jamaa waliomuweka mwarabu 8
Tena tunaitaka TFF iweke mkono wake nje ya uwanja,sio kusubiri 5% tu na kupost matokeoWakitaka simba ifugwe jawa tff wapeleke mechi kiwanja cha ugenini.
Simba ni timu ya Dar, ndio nyumbani kwake. Kupeleka mechi mikoani ni kuipeleka ugenini.