nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
HahahaHii kamati iundwe na mashabiki wa Yanga tupu,hili jukumu LA roho mbaya iko damuni mwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHii kamati iundwe na mashabiki wa Yanga tupu,hili jukumu LA roho mbaya iko damuni mwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Non,Horoya alikuwa kundi moja na esperance.
Walipigwa Kinshasa. Kule Lubumbashi As Vita lazima apigwe.Ndio hawa hawa mazembe waliopigwa na As Vita 3 bila wiki 2 zilizopita.
Haya sasa Yanga,mume huyo mmepata kifaa kingine
Mwaka huu Waganga wa jadi mtafungua vilinge hadi BENKI KUU.Na Tabia za Simba kufungwa mengi ugenini,hapa ndo mwisho wa Simba. MBAYA zaidi wanaanzia Dar. Bye bye Simba.
As Vita 5 Simba 0Tumemfunga As Vita ambae ndio bingwa msimu uliopita wa Congo.. mazembe lazima presha iwe juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa Yanga,mume huyo mmepata kifaa kingine
Simba Sc 2 Mashujaa Fc 3.still we can make ití ½í²ªí ½í²ª
Ile mechi ya jumamosi ndio iliku final...Simba kwenye mtoano hatufungwi goli nyingi...kumbuka Nyoni kama usajiri mpya maana hakuwepo kwenye zile 5 zote tunafungwa na Nyoni unaona ameleta utulivu,As Vita 5 Simba 0
Simba 2 As Vita 1
Endelea kuamini robo fainali mtapita kwa point.
Nyie mlikuwa mnapata faida gani kuwashangilia na kuwapa hifadhi wapinzani wa Yanga?Malipo ni hapa hapa Duniani. Na naona leo umekuwa mpole sana sababu ushapangiwa bwana wa kukuoa tena kinguvu.Mnapata faida gani,hebu tujuzeni
Tarehe 6 April ndio itajulikana nani mwali na nani MumeNaona mnamsifia wifi yenu,dada yake na Vita
Nakwambia hivi Mwanaume huyu mliempata wakati huu hawachezei tena na kuwaacha bali amekuja serious kuwaoa.Yanga hawachoki,,,, watasema tena "sasa mwisho wenu umewadia".
wamesahau hiyo miisho imeanzia kwa Nkhana - na Nkhana akapigwa.
Al Ahly akapigwa, Js Soura akapigwa, AS Vita akapigwa.. Wembe ni uleule,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni kwamba mnashamgilia wapinzani wa Simba ila Simba ndio inasonga mbele. Ni tofauti na yanga.Nyie mlikuwa mnapata faida gani kuwashangilia na kuwapa hifadhi wapinzani wa Yanga?Malipo ni hapa hapa Duniani. Na naona leo umekuwa mpole sana sababu ushapangiwa bwana wa kukuoa tena kinguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwambia hivi Mwanaume huyu mliempata wakati huu hawachezei tena na kuwaacha bali amekuja serious kuwaoa.Yanga hawachoki,,,, watasema tena "sasa mwisho wenu umewadia".
wamesahau hiyo miisho imeanzia kwa Nkhana - na Nkhana akapigwa.
Al Ahly akapigwa, Js Soura akapigwa, AS Vita akapigwa.. Wembe ni uleule,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app