Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Nanyi mnategemea kafara za wanachamaWakongo hawana chochote zaidi ya kutegemea uchawi, dawa yao ni maombi tu halafu hayo mapepo yao yataingia mitini!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nanyi mnategemea kafara za wanachamaWakongo hawana chochote zaidi ya kutegemea uchawi, dawa yao ni maombi tu halafu hayo mapepo yao yataingia mitini!!!!
Kabisaaaa. Niambie hapa mnachomokaje chomokaje?Adui muombee njaa
[emoji23][emoji23] Tuanze kwanza na taifa stars jumapili tumpige UgandaPole sana Swahiba. Kwa kuwa zilikupita tugange za Mazembe sasa.
Kikubwa tujazane kwa Mkapa kuwashangilia Stars huenda tukapata matokeo[emoji23][emoji23] Tuanze kwanza na taifa stars jumapili tumpige Uganda
Hawa Bana Congo Tuachane nao Kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado mkuu Nilijua zahera atapost tarehe ya mtanange huu lakini ni kama hajazipata taarifa hiziUshapewa jibu Mtani au bado? [emoji28]
Mkuu umeandika meengi ila siyo rahisi kama ulivyoandika hiyo makala, to kufungwa na vita siyo sababu ya Simba kuifunga kisa SImba aliifunga team ya vita aliyeifunga mazembe,Kila hatua ina plan yake na sababu zako haiwezi kuifanya Tp kuwa weakTP Mazembe ya sasa sio kama ya miaka minne iliyopita ya Samata. Hao Club Africaine walijichanganya wenyewe wakapigwa 8 pale Lubumbashi. Ukweli ni kwamba Mazembe haina tena wachezaji wa kuweza kuwafunga waarabu nyumbani na ugenini. Sasa hivi wanawategemea Kamboure na Mputu (34). Huyu Mputu alimkimbia Samata na kwenda Angola, amerejea baada ya Samata kuondoka, lakini sio yule wa kiwango cha mwaka 2011 wakati Mazembe walipokuja Tanzania. Mazembe ya sasa hata ubingwa wa Congo imevuliwa na AS Vita, na kwa taarifa yako mwezi uliopita tu imechezea kichapo 3-0 kwa AS Vita katika ligi kuu ya Congo. Hata katika play offs kombe la mabingwa waliitoa kwa taabu ZESCO ya Lwandamina, kule Lubumbashi Mazembe walishinda 1-0, na Zambia wakatoka sare 1-1. Hii ZESCO kombe la shirikisho ikapangwa kundi moja na Nkana (ambayo ilitolewa na Simba) na imekuwa ya mwisho, wakati Nkana ipo robo fainali.
Simba wakikaza wanaweza itoa Mazembe
Nina tiketi yakoKikubwa tujazane kwa Mkapa kuwashangilia Stars huenda tukapata matokeo
Hahaaa. Muwacheni Mzee wa Watu.Bado mkuu Nilijua zahera atapost tarehe ya mtanange huu lakini ni kama hajazipata taarifa hizi
Sent using unknown device
Hivyo mtavuka kwa Aggregate ya ngapi ngapi Mtani?Tikutane nusu fainali.
Kazi rahisi sana hii.
Afadhali.Nina tiketi yako
Hivyo mtavuka kwa Aggregate ya ngapi ngapi Mtani?
Ni kazi ndogo tumejipanga, 2011 tulicheza na game 2 tuliwafunga 4 wao 6Kabisaaaa. Niambie hapa mnachomokaje chomokaje?
Tp mazembe ni underdog kwa as vita kwenye ligi huwa Mara nyingi anampiga nje ndani kama vita alikaa kwa mkapa mazembe ndo nani mtani, tujipongeze simba kwa kufuzu nusu fainali send off ilifanyika kwa as vita harusi kamili itafanyika kwa mazembeNingeshangaa kukukosa hapa Mtani. Wasemaa? 👂👂👂
Hahahhàhahaha aiseee,sasa Mkuu haya yote yametokea wapi au mna ugomvi binafsi na Cutelove?Wewe unajiita cutelove ila mtu akikjtana na wewe anaweza akalia. Wanawake wa jamii forum kwa kujiita majina mazuri na kuweka picha nzuri hamjambo ila mtu akikuona live anaweza kulia, shapeless!
Naona Wazee wa +255 mnajifarijjKwanza hakuna kati yenu aliyeamini kuwa Simba angesonga mbele kwa kumtoa Vita, jiandaeni kisaikologia kuiona Simba ikicheza fainali. Wenye wivu watapata taabu sana mwaka huu!!!!! Hamjajifunza tu? Unaomba nyumba ya mwenzako ichomwe moto inatangulia ya kwako kuchomwa moto!!! Kandambili bwana!!!!!!!