Klabu ya Simba yapewa siku 14 kulipa kodi ya ardhi jumla ya Tshs milioni 77

Klabu ya Simba yapewa siku 14 kulipa kodi ya ardhi jumla ya Tshs milioni 77

Hii inaleta unafuu kwenye deni la timu ya Simba? Halfu huyo wakili, kajiweka mwenyewe kwa kulazimisha? AU kuna watu walishikiwa mtutu? Yeye kuwa wakili kwenye kesi hiyo, kumesababisha deni hilo? DAWA YA DENI HAIJAWAHI KUWA NYINGINE ZAIDI YA KULIPA

Wee utopolo tulia, huyo wakili tunamjua vyema na tunajua ni nini kipo nyuma ya pazia, so waka haipi simba shida!

Sasa kama unajua dawa ya deni ni kulipa mbona utopolo yako inadaiwa zaidi ya million 400...!? Imelipa?
Yule Tambwe aliyewapeleka Fifa hadi mkazuiwa kusajili mlishamlipa? Au hujui kuwa utopolo yako imefungiwa kusajili....!?
Hiyo 77M inayosemekana inadaiwa itafanyika review kama ina uhalali hata Monalisa msemaji wa Simba Queen ana uwezo wa kuilipa!
 
Wewe unajua ukweli gani juu ya mchakato au wewe ndio mkurugenzi au ni bumbuli? Hivi mchakato wa laliga umefikia wapi?
Ndio shida ya ushabiki mandazi huo!!yaani kodi ya ardhi kushindwa kuilipa na kutakiwa kuilipa imekuwa hujuma?!!kwenye huo mchakato wa uwekezaji siku mkiujua ukweli ndio mtaona kuwa kuna janja janja nyingi sana!!
 
Wee utopolo tulia, huyo wakili tunamjua vyema na tunajua ni nini kipo nyuma ya pazia, so waka haipi simba shida!

Sasa kama unajua dawa ya deni ni kulipa mbona utopolo yako inadaiwa zaidi ya million 400...!? Imelipa?
Yule Tambwe aliyewapeleka Fifa hadi mkazuiwa kusajili mlishamlipa? Au hujui kuwa utopolo yako imefungiwa kusajili....!?
Hiyo 77M inayosemekana inadaiwa itafanyika review kama ina uhalali hata Monalisa msemaji wa Simba Queen ana uwezo wa kuilipa!
Unahaha... jibu swali
 
Wee utopolo tulia, huyo wakili tunamjua vyema na tunajua ni nini kipo nyuma ya pazia, so waka haipi simba shida!

Sasa kama unajua dawa ya deni ni kulipa mbona utopolo yako inadaiwa zaidi ya million 400...!? Imelipa?
Yule Tambwe aliyewapeleka Fifa hadi mkazuiwa kusajili mlishamlipa? Au hujui kuwa utopolo yako imefungiwa kusajili....!?
Hiyo 77M inayosemekana inadaiwa itafanyika review kama ina uhalali hata Monalisa msemaji wa Simba Queen ana uwezo wa kuilipa!
Kwanza Mhe. Said Wambili Sio Wakili Bali Ni M/kiti Wa Baraza La Ardhi na Nyumba Lililoko Mwananyamala, Wilaya Ya Kinondoni. Usichanganye Mambo Tafadhari
 
Huyo anayejiita sijui wakili wa hiyo kesi ni shabiki lisilojielewa la utopoloView attachment 1752894
Halafu hao utopolo wana deni la zaidi ya mil 400, ambayo ni malipo ya kodi ambalo lilishapitisha muda wake na wala hakuna hatua zilizochukuliwa!
View attachment 1752896
Said Wambili Sio Wakili na Hayupo Kwenye orodha Ya Mawakili Tanzania, Huyo Ni Mwakilishi Wa kamishina Wa Ardhi
 
Back
Top Bottom